Author: Cynthia Chacha
Magazeti ya leo Aprili 18,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Aprili 18,2022.
[...]
Alichosema Harmonize msibani kwa Maunda Zorro
Ikiwa leo Aprili 16,2022 mwili wa msanii wa bongo fleva Maunda Zorro, umepumzishwa kwenye makazi yake ya milele ambapo watu wengi wakiwemo wasanii wal [...]
Bodaboda ajinyonga kwa mkanda
Idrisa Salum Milundiko (24), mkazi wa Kitongoji cha Kasokola Mashariki B wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi anayejihusisha na uendeshaji wa bodaboda, ame [...]
Wizara ya afya yatoa nafasi 1,621 za kazi
Wizara ya Afya kupitia kibali cha Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/128/01/”B”/40 cha tarehe 01 Aprili, 20 [...]
Diamond: Mimi ndio chanzo tuzo kufa
Mmiliki wa lebo ya Wasafi na msanii, Diamond Platnumz amefungua na kueleza kuwa yeye ndiyo chanzo cha kusitishwa kwa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) mia [...]
Magazeti ya leo Aprili 16,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Aprili 16,2022.
[...]
Rais Samia anguruma Marekani
Rais Samia Suluhu aliondoka nchini kuelekea Marekani Aprili 13, 2022, kwa ziara ya kiserikali ya wiki 3. Leo, Aprili 15, 2022, Rais Samia na mwenyeji [...]
Njia bora 4 za kufanya meno yang’ae
Kila mtu anapenda kuwa na meno masafi meupe yanayong'aa ili pindi akicheka, akitabasamu au hata kuongea basi yaonekane vizuri, lakini wengi wameshindw [...]
Absa bank yatangaza ajira
Position: HEAD OF AFFLUENT SEGMENTS
Location: Absa House - ABTBring your possibility to life! Define your career with us
With over 100 years of rich [...]
Riri na ASAP: Mtasubiri, bado sana
Mtu wa karibu wa Rihanna ametoa taarifa kwamba Riri pamoja na rapa ASAP Rocky hawajaachana kama inavyodaiwa, chanzo hiko kinadai kwamba wawili wapo vi [...]