Author: Cynthia Chacha

1 196 197 198 199 200 244 1980 / 2434 POSTS
Video zinazo-trend Youtube Aprili 9,2022

Video zinazo-trend Youtube Aprili 9,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumamosi Aprili9,2022. Husikubali kupitwa. https://www.youtube.com/watch? [...]
Mambo 5 ya kufanya wikiendi

Mambo 5 ya kufanya wikiendi

Baada ya kufanya kazi kwa muda wa siku tano mfululizo, watu wengine hupenda kupumzika siku ya jumamosi na jumapili ili kuondoa uchovu wa wiki nzima. [...]
Miriam Odemba: Kajala akamatwe

Miriam Odemba: Kajala akamatwe

Mwanamitindo na Mshindi wa taji la Miss East Africa 1998, Miriam Odemba amemkingia kifua Harmonize na kuwaomba Watanzania na polisi kuingilia kati sua [...]
Nauli kutoka 450 mpaka 900

Nauli kutoka 450 mpaka 900

Wadau wa Sekta ya Usafiri Ardhini (Latra) imependekeza kupanda kwa nauli kutoka 450 mpaka 900 kwa kila kilomita ambapo Mamlaka ya uthibiti wa Usafiri [...]
Rais Samia aibuka kinara

Rais Samia aibuka kinara

Rais Samia Suluhu Hassan ametangazwa mshindi wa tuzo ya Babacar Ndiaye kwa mwaka 2022 baada ya viongozi na watu mashuhuri kutambua mchango wake katika [...]
Zitto aikosoa ramani ya EAC

Zitto aikosoa ramani ya EAC

Mwenyekiti wa ACT, Zitto Kabwe ameikosoa ramani mpya ya Umoja wa nchi za Afrika Mashariki kwa kusema kwamba haijakamilika kwa kukosekana Zanzibari. [...]
Aliyeimba ‘Ekwueme’ afariki dunia

Aliyeimba ‘Ekwueme’ afariki dunia

Mwanamuziki wa Nyimbo za Injili kutoka Nigeria aitwaye Sis Osinachi Nwachukwu maarufu kwa wimbo wake "Ekwueme" amefariki dunia akiwa na umri wa miaka [...]
Ubongo Kids yatangaza ajira

Ubongo Kids yatangaza ajira

Position: Broadcast Manager Organization Summary: UBONGO is Africa’s leading producer of kids’ edutainment. As a non-profit social enterprise, we cr [...]
Magazeti ya leo Aprili 9,2022

Magazeti ya leo Aprili 9,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Aprili 9,2022. [...]
Madhara ya bangi ukeni

Madhara ya bangi ukeni

Watu wengi huvuta bangi kabla ya kuanza kushiriki tendo la ndoa wakidhani kwamba kufanya hivyo kuna waongezea hamu zaidi ya kufurahia tendo hilo lakin [...]
1 196 197 198 199 200 244 1980 / 2434 POSTS
error: Content is protected !!