Author: Cynthia Chacha
Mwijaku atangaza nia
Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena Clouds Radio, Mwijaku ametangaza nia ya kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania wadhifa aliopewa Steve Nyerer [...]
Steve Nyerere kuvuliwa
Mbunge wa Muhenza ambaye pia ni msanii, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA amewapa masaa 48 viongozi wa Shirikisho la Muziki Tanzania kuleta jina l [...]
Faru Rajabu afariki
Shirika la Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Faru Rabaju aliyefariki usiku wa kuamkia leo Machi 21, 2022 akiwa na mia [...]
Pastor Myamba apata ajali
Emmanuel Myamba maarufu kama Pastor Myamba ametoa taarifa ya kupatwa na ajali mbaya yeye pamoja na familia yake wakati wakielekea kwenye ibada.
Ame [...]
Kanye West afutwa Grammy 2022
Rapa kutoka nchi Marekani Ye au Kanye West amefutwa kwenye orodha ya wasanii wanaotarajia kutumbuiza kwenye Tuzo za Grammy 2022 kutokana na matendo ya [...]
Diamond:Nina mtoto Mwanza
Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz, amekiri kuwa mtoto mwingine jijini Mwanza ukiachilia mbali wato [...]
Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesema waathirika wote wa ajali iliyotokea mkoani Morogoro hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu 23 [...]
BASATA: hawakuomba kushiriki
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa ufafanuzi wa kwanini wasanii kutoka lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Diamond Platumz kutoonekana kwenye kipen [...]
TMDA: Marufuku sigara hadharani
Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) Kanda ya Kati, Sonia Mkumbwa ameeleza kuwa watumiaji wa bidhaa za Tumbaku watatakiwa kut [...]
Mama Janeth Magufuli atoa misaada
Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli, amesema ataendeleza utamaduni waliyojiwekea yeye na marehemu m [...]