Author: Cynthia Chacha

1 205 206 207 208 209 244 2070 / 2431 POSTS
Mwijaku atangaza nia

Mwijaku atangaza nia

Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena Clouds Radio, Mwijaku ametangaza nia ya kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania wadhifa aliopewa Steve Nyerer [...]
Steve Nyerere kuvuliwa

Steve Nyerere kuvuliwa

Mbunge wa Muhenza ambaye pia ni msanii, Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA amewapa masaa 48 viongozi wa Shirikisho la Muziki Tanzania kuleta jina l [...]
Faru Rajabu afariki

Faru Rajabu afariki

Shirika la Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Faru Rabaju aliyefariki usiku wa kuamkia leo Machi 21, 2022 akiwa na mia [...]
Pastor Myamba apata ajali

Pastor Myamba apata ajali

Emmanuel Myamba maarufu kama Pastor Myamba ametoa taarifa ya kupatwa na ajali mbaya yeye pamoja na familia yake wakati wakielekea kwenye ibada. Ame [...]
Kanye West afutwa Grammy 2022

Kanye West afutwa Grammy 2022

Rapa kutoka nchi Marekani Ye au Kanye West amefutwa kwenye orodha ya wasanii wanaotarajia kutumbuiza kwenye Tuzo za Grammy 2022 kutokana na matendo ya [...]
Diamond:Nina mtoto Mwanza

Diamond:Nina mtoto Mwanza

Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi Naseeb Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz, amekiri kuwa mtoto mwingine jijini Mwanza ukiachilia mbali wato [...]
Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa

Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesema waathirika wote wa ajali iliyotokea mkoani Morogoro hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu 23 [...]
BASATA: hawakuomba kushiriki

BASATA: hawakuomba kushiriki

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa ufafanuzi wa kwanini wasanii kutoka lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Diamond Platumz kutoonekana kwenye kipen [...]
TMDA: Marufuku sigara hadharani

TMDA: Marufuku sigara hadharani

Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) Kanda ya Kati, Sonia Mkumbwa ameeleza kuwa watumiaji wa bidhaa za Tumbaku watatakiwa kut [...]
Mama Janeth Magufuli atoa misaada

Mama Janeth Magufuli atoa misaada

Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli, amesema ataendeleza utamaduni waliyojiwekea yeye na marehemu m [...]
1 205 206 207 208 209 244 2070 / 2431 POSTS
error: Content is protected !!