Author: Cynthia Chacha

1 208 209 210 211 212 231 2100 / 2309 POSTS
Serikali yaweka neno matukio ya mauaji

Serikali yaweka neno matukio ya mauaji

Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum chini ya waziri Dk. Doroth Gwajima, imezitaka kamati za kupinga ukat [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 3,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 3,2022

Hizo hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania. Husikubali kupitwa; https://www.youtube.com/watch?v=PkXxm2tCtgs&list=PLq [...]
Hii hapa Sababu daraja la Tanzanite kutumika bure 

Hii hapa Sababu daraja la Tanzanite kutumika bure 

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ametoa sababu ya kwanini daraja jipya la Tanzanite linatumika bure huku lile la Kigamboni watumia [...]
Wasiom-post Esma wapewa dongo

Wasiom-post Esma wapewa dongo

Mfanyabiashara Esma Platnumz ambaye ni dada wa msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi Diamond Platnumz amewachana wale ambao hawakumtakia heri katika sik [...]
Vipaumbele vya Zuhura Yunus baada ya uteuzi

Vipaumbele vya Zuhura Yunus baada ya uteuzi

Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), Zuhura Yunus ambaye ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ame [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 2,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 2,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania. Husikubali kupitwa; https://www.youtube.com/watch?v=PkXxm2tCtgs&list=PLq [...]
Rais Samia: Wanafunzi wapewe ujuzi mpya

Rais Samia: Wanafunzi wapewe ujuzi mpya

Rais Samia amewaagiza mawaziri wanaosimamia Wizara ya Habari na Teknolojia ya Mawasiliano na ile ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuweka mipango ya kuw [...]
Ijue safari ya mahusiano ya Rihanna

Ijue safari ya mahusiano ya Rihanna

Hatimaye Rihanna amepata mwenza ambaye anamfanya ajione kama msichana pekee kwenye dunia hii kama asemavyo  katika wimbo wake wa ‘Only girl in the wor [...]
Mtoto auawa na kutolewa sehemu za siri

Mtoto auawa na kutolewa sehemu za siri

Mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Tutuo, wilayani Sokonge , Mkoa wa Tabora, Maria Ngassa(13) ameuawa kikatili wakati akienda kisimani [...]
Ahueni kushuka kwa bei ya petroli na mafuta ya taa

Ahueni kushuka kwa bei ya petroli na mafuta ya taa

Mamlaka ya Udhibiti wa huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA), imetangaza kushuka kwa bei ya petroli na mafuta ya taa huku bei ya dizeli ikiongezeka [...]
1 208 209 210 211 212 231 2100 / 2309 POSTS
error: Content is protected !!