Author: Cynthia Chacha
Magazeti ya leo Mei 4,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Mei 4,2022.
[...]
Tanzia: Kipanya afiwa na baba yake
Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast Masoud Kipanya ,amefiwa na baba yake mzazi Mzee Masoud Nyomwa. Msiba uko Mwananyamala na mazishi yanatarajiw [...]
Urusi na UKraine zamuibua Mo Dewji
Ofisa Mtendaji wa Kampuni ya Mohamed Enterprises (MeTL) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na mwekezaji wa klabu ya Simba , Mohamed Dewji ameshauri [...]
Nchi zilizopandisha mishahara
Marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameboresha maslahi ya watumishi kwa kuongeza kima cha chini cha mishahara kwa viango tofauti.
[...]
Magazeti ya leo Mei 3,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Mei 3,2022.
[...]
CCM yatoa pongezi kwa wafanyakazi
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa pongezi kwa wafanyakazi wote nchi kwa kuunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuongeza mishahara yao, kaul [...]
Tazama hapa video zinazo-trend youtube Mei 2,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Alhamisi Mei 2,2022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch?v= [...]
Kiama cha Panya Road
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema kuanzia leo kutakuwa na operesheni maalumu ya kuwasaka vijana, maarufu Panya Road wanaofanya matuk [...]
Maji ya upako yaharibu sehemu zake za siri
Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Ummy Msika(45) mkazi wa kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amedai kuharibiwa sehemu za s [...]
TCRA yafunguka vifurushi kupanda
Baada ya kuibuka kwa malalamiko kuhusu wateja wa mitandao ya simu kununua vifurushi na kupata tofauti na kile walicholipia, Mamlaka ya Mawasiliano kup [...]

