Author: Cynthia Chacha
Mpoto alamba shavu Wizara ya Maji
Msanii nguli wa kughani mashairi na muziki Mrisho Mpoto amelamba shavu katika Wizara ya Maji baada ya kuteuliwa na Waziri wa Maji, Jumanne Aweso kuwa [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 5,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao ya Youtube Tanzania. Husikubali kupitwa;
https://www.youtube.com/watch?v=PkXxm2tCtgs&list=PLq [...]
Tamko kuhusu IST kupita daraja la Tanzanite
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam , ACP Jumanne Muliro ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinazosem [...]
Kim na Kanye wageuka paka na panya
Mwanamitindo Kim Kardashian na rapa Kanye West ambapo awali walikua kwenye mahusiano na kubarikiwa kupata watoto wanne, North, Psalm, Chicago na Saint [...]
Vaa hivi ufanane na Wizkid
Mwanamitindo wa Wizkid anastahili pongezi kwani tumeshuhudia mabadiliko ya mtindo wa uvaaji wake kutoka kwenye suruali za jeans chini ya makalio na ma [...]
Fahamu faida 4 za kununua nguo za mtumba
Nguo za mtumba ni zile ambazo tayari zimekwisha tumika na mtu au watu wengine sehemu nyingine na kuuzwa tena kwa ajili ya matumizi mengine. Watu wengi [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 4,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania. Husikubali kupitwa;
https://www.youtube.com/watch?v=PkXxm2tCtgs&list=PLq [...]
Furahia wikiendi na filamu ya ‘The girl allergic to Wi-Fi’
Huwenda ukawa umewahi kusikia magonjwa mengi lakini je, umeshawahi kusikia ugonjwa wa mtu kutoruhusiwa kuwa karibu na sehemu yenye mtandao au kutumia [...]

Kauli ya Rais Samia kuhusu mauaji ya Mtwara
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri Mkuu Kasim Majaliwa kuunda kamati itakayochunguza mauaji yaliyofan [...]

Rais Samia atumbua wanne
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu, ametengua wakurugenzi wanne ikiwemo Buchosa, Singida mjini, Mbeya na Iringa kutokana na ub [...]