Author: Cynthia Chacha
Alichosema Harmonize msibani kwa Maunda Zorro
Ikiwa leo Aprili 16,2022 mwili wa msanii wa bongo fleva Maunda Zorro, umepumzishwa kwenye makazi yake ya milele ambapo watu wengi wakiwemo wasanii wal [...]
Bodaboda ajinyonga kwa mkanda
Idrisa Salum Milundiko (24), mkazi wa Kitongoji cha Kasokola Mashariki B wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi anayejihusisha na uendeshaji wa bodaboda, ame [...]
Wizara ya afya yatoa nafasi 1,621 za kazi
Wizara ya Afya kupitia kibali cha Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb. Na. FA.97/128/01/”B”/40 cha tarehe 01 Aprili, 20 [...]
Diamond: Mimi ndio chanzo tuzo kufa
Mmiliki wa lebo ya Wasafi na msanii, Diamond Platnumz amefungua na kueleza kuwa yeye ndiyo chanzo cha kusitishwa kwa Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) mia [...]
Magazeti ya leo Aprili 16,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Aprili 16,2022.
[...]
Rais Samia anguruma Marekani
Rais Samia Suluhu aliondoka nchini kuelekea Marekani Aprili 13, 2022, kwa ziara ya kiserikali ya wiki 3. Leo, Aprili 15, 2022, Rais Samia na mwenyeji [...]
Njia bora 4 za kufanya meno yang’ae
Kila mtu anapenda kuwa na meno masafi meupe yanayong'aa ili pindi akicheka, akitabasamu au hata kuongea basi yaonekane vizuri, lakini wengi wameshindw [...]
Absa bank yatangaza ajira
Position: HEAD OF AFFLUENT SEGMENTS
Location: Absa House - ABTBring your possibility to life! Define your career with us
With over 100 years of rich [...]
Riri na ASAP: Mtasubiri, bado sana
Mtu wa karibu wa Rihanna ametoa taarifa kwamba Riri pamoja na rapa ASAP Rocky hawajaachana kama inavyodaiwa, chanzo hiko kinadai kwamba wawili wapo vi [...]
TBS walitaka gari la Kipanya
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limemtaka Masoud Kipanya kufika katika Ofisi za TBS na gari la kutumia umeme alilolibuni hivi karibuni ili liweze ku [...]

