Author: Cynthia Chacha

1 220 221 222 223 2220 / 2225 POSTS
Magazeti ya leo Jumamosi, Novemba 6, 2021

Magazeti ya leo Jumamosi, Novemba 6, 2021

Habari Za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za Magazeti ya Tanzania leo ijumaa, Novemba 6, 2021. [...]
Mastaa wa Bongo waliobarikiwa watoto 2021

Mastaa wa Bongo waliobarikiwa watoto 2021

Mwaka 2021 umekuwa na baraka kwa mastaa mbalimbali wa Bongo kwa kubarikiwa kupata watoto na wengine kuzidi kuongeza familia zao. Mastaa hao ni wanamit [...]
Ijue maana ya nyota yako leo Oktoba 25, 2021

Ijue maana ya nyota yako leo Oktoba 25, 2021

NDOO(Jan 21- Feb 19):ni kipindi cha kutoa maamuzi kwani mambo mengi uliyopanga yatakwamuka, hutarudi nyuma na furaha itatawala kwa maamuzi yako. Tumia [...]
‘My Name’ Filamu itakayochangamsha wikiendi yako

‘My Name’ Filamu itakayochangamsha wikiendi yako

Katika filamu hii  ya “My name”, (Jina langu kwa tafsiri ya Kiswahili), tunakutana na binti mrembo Yoo Ji Woo, ambaye katika maisha yake amekuwa akile [...]
Cardi B hatarini kufungwa miaka 4 jela

Cardi B hatarini kufungwa miaka 4 jela

Mwaka 2018 rapa Cardi B alifunguliwa mashtaka kwa makosa mawili ya shambulio la kudhuru na uzembe. Mwaka 2019 alipopandishwa kizimbani kwenye Mahakama [...]
Mambo 5 ya kuepuka kufanya kwa ajili ya Mwanamke

Mambo 5 ya kuepuka kufanya kwa ajili ya Mwanamke

Kwa kuzingatia historia, mila, tamaduni na desturi, imezoeleka kuwa mara nyingi ni wajibu wa Mwanaume kuonesha upendo kwa mpenzi wake na kujitoa kwa h [...]
Wasira awashangaa wanaodai Katiba mpya sasa

Wasira awashangaa wanaodai Katiba mpya sasa

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Bunda, mkoani Mara na Mwanasiasa mkongwe nchini, Stephen Wasira akizungumza kwenye kipindi cha medani za siasa kinachorus [...]
Tommy Flavour afunguka madai ya kuiba wimbo na kumpa Alikiba

Tommy Flavour afunguka madai ya kuiba wimbo na kumpa Alikiba

Mwandishi na mwimbaji kutoka lebo ya Kings Music, TomyFlavour amefunguka na kusema mashtaka kuhusu kuiba wimbo wa mwanadada anayefahamika kama Liah na [...]
Burna Boy ataka bangi iruhusiwe Nigeria

Burna Boy ataka bangi iruhusiwe Nigeria

Nyota wa muziki kutoka nchini Nigeria, Damini Ebunoluwa Ogulu maarufu kama Burna Boy amesema kwamba ni vyema sheria ikaruhusu matumizi ya bangi nchini [...]
Serikali kujenga chuo kikubwa cha TEHAMA nchini

Serikali kujenga chuo kikubwa cha TEHAMA nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza katika kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerer [...]
1 220 221 222 223 2220 / 2225 POSTS
error: Content is protected !!