Author: Cynthia Chacha

1 2 3 4 5 6 240 40 / 2397 POSTS
Kufuatia mashambulizi ya Israel idadi ya vifo Gaza vyafika 77

Kufuatia mashambulizi ya Israel idadi ya vifo Gaza vyafika 77

IDADI ya vifo kutokana na mashambulizi ya angani ya Israel huko Gaza imefikia 77, saa chache baada ya kutangazwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano [...]
Rais Samia: Goli la mama litakuwepo

Rais Samia: Goli la mama litakuwepo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi uwepo wa goli la mama katika mashindano wa kombe la Mapinduzi mwaka hu [...]
Rais Samia afanya uteuzi

Rais Samia afanya uteuzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani, Wenyeviti wa Bodi na kumpangia [...]
Umeme nyumba kwa nyumba

Umeme nyumba kwa nyumba

WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) imeendelea na kampeni yake ya nyumba kwa nyumba ya kutoa elimu kuhusu faida na matumizi ya umeme pamoja na kuhamasish [...]
Rais Samia azindua hoteli iliyozalisha ajira 400 kwa wazawa

Rais Samia azindua hoteli iliyozalisha ajira 400 kwa wazawa

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Hoteli ya Kitalii ya Bawe Island the Cocoon Collection iliyopo katika Kisiwa cha Bawe, Zanzibar yenye hadhi ya n [...]
Balozi wa Marekani aisifu SGR ya Tanzania

Balozi wa Marekani aisifu SGR ya Tanzania

Balozi wa Marekani nchini, Michael Battle ameisifia treni ya Reli ya Kisasa (SGR) kwa huduma bora na huku akisema amesafiri mabara manne duniani ila a [...]
Ujenzi barabara ya haraka Kibaha hadi Chalinze mbioni kuanza

Ujenzi barabara ya haraka Kibaha hadi Chalinze mbioni kuanza

Serikali imesema miradi inayotarajiwa kuanza utekelezaji mwaka 2025 ni ujenzi wa barabara ya haraka kutoka Kibaha hadi Chalinze yenye urefu wa kilomit [...]
Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Tanzania namba moja katika ya maeneo 20 za kutembelewa 2025

Mtandao wa U.S. News & World Report unaojihusisha na maswala ya safari na utalii umetaja maeneo 20 muhimu kwa watalii kutembelea Afrika 2025 ambap [...]
Ruzuku ya mbegu na mbolea kutolewa kidigitali

Ruzuku ya mbegu na mbolea kutolewa kidigitali

Serikali ya Tanzania imesema mfumo mpya wa kigitali wa kusajili wakulima uliobuniwa hivi karibuni utasaidia wakulima kupata ruzuku ya mbolea kwa urahi [...]
Serikali yatangaza nafasi za ajira 3,633 za ualimu

Serikali yatangaza nafasi za ajira 3,633 za ualimu

Serikali ya Tanzania imetangaza ajira 3,633 za walimu wa masomo mbalimbali ikiwemo ya Biashara, Ushonaji, Uashi, Umeme, Ufundi magari, Uchomeleaji na [...]
1 2 3 4 5 6 240 40 / 2397 POSTS
error: Content is protected !!