Author: Cynthia Chacha
Hospitali ya Rufaa Manyara yaanza kutoa huduma za kusafisha figo
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara imepiga hatua katika kuboresha huduma za afya za kibingwa kwa wananchi baada ya kuzindua rasmi huduma ya usafish [...]
Kituo kikubwa cha upandikizaji figo kujengwa Tanzania
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza ujenzi wa kituo kikubwa cha kupandikiza figo pamoja, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma hiyo kwa urahisi [...]
Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan wazidi kuimarika
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ushirikiano wa Tanzania na Japan umezidi kukua na kuimarika katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia am [...]
Mradi wa umeme wa Kilovoti 132 Tabora wabakiza asilimia 5 kukamilika
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limesema ujenzi wa miundombinu ya umeme wa msongo wa Kilovoti 132 kutoka Tabora hadi Katavi unaofanywa na kampuni ta [...]
Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya aunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu
Waziri wa Mambo ya Nje Musalia Mudavadi amekiri kuwa ukosoaji wa hivi majuzi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu tabia ya Wakenya huenda un [...]
Rais wa Namibia awasili Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah amewasili nchini Mei 20, 2025 kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya siku mbili kuanzia tareh [...]
Polisi yawasaka waliosambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia X (Zamani Twitter)
Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuanza msako maalum dhidi ya watu wanaodaiwa kusambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia jukwaa la kijamii la [...]
Wabunge wampongeza Rais Samia kwa ubunifu na mageuzi katika Sekta ya Utalii
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ubunifu ali [...]

Rais Samia atahadharisha wanaharakati wa kigeni kuacha kuingilia masuala ya nchi
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kwa wanaharakati wa kigeni wanaodaiwa kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania, akisema kuwa ikiwa wamewekewa vikwa [...]
Idadi ya watalii yaoongezeka na kupita lengo la Ilani ya CCM ya Mwaka 2020
Idadi ya watalii wanaozuru Tanzania imeongezeka kwa kiasi kikubwa na tayari imepita lengo la Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020. Mafanik [...]