Author: Cynthia Chacha
Serikali mbioni kuvipa vyombo vya habari ruzuku
Serikali imesema inatafakari kuona namna ya kufadhili vyombo vya habari kwa kuvipa ruzuku.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof [...]
Rais Samia kuzindua Dira ya Maendeleo 2050: Njia ya mafanikio na ujumuishi
Tanzania inajiandaa kuingia katika enzi mpya ya maendeleo huku Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuzindua rasmi Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 (TD [...]
Mavunde akabidhi jengo la kupumzikia wananchi Hospitali ya Mkoa Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde amekabidhi jengo la kupumzikia wananchi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ambalo litasaidia kutatu [...]
Tozo ya mafuta ilivyokamilisha ujenzi wa Daraja la Mawe la Mto Mmbaga
Ujenzi wa daraja la mawe eneo la Mto Mmbaga unaounganisha kijiji cha Jema na kata ya Oldonyosambu wilayani Ngorongoro umesaidia kuondoa changamoto kwa [...]
Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award kutoka kwa Uongozi wa Access [...]
Boti ya uokozi yamkosha Rais Samia Suluhu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ni faraja kubwa kuona boti ya utafutaji na uokoaji imeshushwa katika m [...]
Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam
Katika kipindi cha Julai hadi Machi mwaka wa fedha 2024/2025, Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kunufaika na uwekezaji wa waendeshaji binafsi, hatua [...]

Rais Samia: Tanzania na Comoro kushirikiana kukabiliana na changamoto za tabianchi
Moroni, Comoro – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameeleza dhamira ya Tanzania kuimarisha ushirikiano na Comoro katika ku [...]
Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo nchini Tanzania CCT, Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema Rais Samia Suluhu anapotoa michango kwenye makanisa na misiki [...]
Vituo vya gesi asilia 12 kuanza kazi mwishoni mwa mwaka
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuwa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) zaidi ya 12 vitakuwa vinafanya kazi ifika [...]