Author: Cynthia Chacha
Gesi asilia ya Mtwara kusambazwa malawi
Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Humphrey Polepole amesema mazungumzo kati ya Tanzania na Serikali ya Malawi ya Tanzania kuiuzia gesi asilia inayozal [...]
Vijana 812 wachaguliwa kujiunga programu ya kilimo
Vijana 812 wamechaguliwa kujiunga na mafunzo maalumu ya Kilimo yanayoratibiwa na Wizara ya Kilimo.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametangaza majin [...]
Magazeti ya leo Februari 24,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Februari 24,2023.
[...]
R. Kelly ahukumiwa miaka 20 jela
Mwimbaji wa Marekani Robert Kelly, maarufu R. Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa makosa ya unyanyasaji wa kingono.
Kesi zisizoisha zim [...]
Magazeti ya leo Februari 23,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Februari 23,2023.
[...]
Uwanja wa Mkapa kufungwa kwa mwezi mmoja
Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limeshauri Uwanja wa Benjamini Mkapa uliopo jijini Dar es Salaam kutotumika kwenye mechi zao kwa kile kilichoelezwa u [...]
Magazeti ya leo Februari 22,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Februari 22,2023.
[...]
Milioni 5 kila goli mechi zote za CAF
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema ahadi ya kununua magoli yatakayofungwa na Simba SC na Yanga kwenye mashindano ya kimataifa iliyowekwa [...]
Fahamu kuhusu kimbunga ‘Freddy’
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa ufafanuzi kuhusu uwepo wa kimbunga ‘Freddy’ kilichopo kusini magharibi mwa bahari ya Hindi karibu na p [...]