Author: Cynthia Chacha

1 5 6 7 8 9 240 70 / 2397 POSTS
Rais Samia kuanza ziara Cuba

Rais Samia kuanza ziara Cuba

Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini Cuba yenye lengo la kuimarisha uhusiano baina ya mataifa hayo mawili. Ziar [...]
BoT: Uchumi hautoathirikia noti zikiondolewa

BoT: Uchumi hautoathirikia noti zikiondolewa

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema uamuzi wa kuondoa kwenye mzunguko noti za zamani za Shilingi ya Tanzania zilizoidhinishwa kutumika na benki hiyo m [...]
Fahamu mambo matatu yatakayoboresha kilimo Tanzania

Fahamu mambo matatu yatakayoboresha kilimo Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imeweka mikakati ya kuimarisha kilimo ili iwe mzalishaji mkubwa wa chakula Afrika Mashariki na Kusini mwa Af [...]
Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug

Rais Samia kwenda Marekani kushiriki Mjadala wa Norman E.Borlaug

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan hii leo tarehe 29 Oktoba 2024, anatarajia kuondoka nchini kuelekea Des Moines, nchini Mar [...]
Rais Samia: Tanzania imepiga hatua katika sekta la afya na elimu

Rais Samia: Tanzania imepiga hatua katika sekta la afya na elimu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameishukuru Taasisi ya Merck kwa ushirikiano wao katika masuala mbalimbali hasa kati [...]
IMF yatabiri uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 6 mwaka 2025

IMF yatabiri uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia 6 mwaka 2025

Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limetabiri kukua kwa uchumi wa Tanzania kwa asilimia 6 mwaka 2025 kutoka asilimia 5.1 iliyorekodiwa katika mwaka h [...]
Polisi wamshikilia aliyetishia na kujeruhi kwa silaha 1245

Polisi wamshikilia aliyetishia na kujeruhi kwa silaha 1245

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linamshikilia Derick Junior (36) Mkazi wa Salasala, Kinondoni jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kujeruhi n [...]
TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza

TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Heslb) imesema wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza wamepatiwa mkopo wenye thamani ya Sh 233.3 bilioni kwa [...]
Uandikishaji daftari la wapiga kura wafikia asilimia 94.8 ya lengo

Uandikishaji daftari la wapiga kura wafikia asilimia 94.8 ya lengo

Serikali imesema Watanzania milioni 31.2 sawa na asilimia 94.8 ya lengo wamejitokeza kujiandikisha katika daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa [...]
Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais

Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais

RAIS wa Kenya, William Ruto amemteua Profesa, Kithure Kindiki kuwa naibu rais akichukuwa nafasi ya Rigathi Gachagua, ambaye aliondolewa madarakani na [...]
1 5 6 7 8 9 240 70 / 2397 POSTS
error: Content is protected !!