Author: Cynthia Chacha

1 5 6 7 8 9 256 70 / 2555 POSTS
Wastaafu kima cha chini kulipwa 250,125.9/- kwa mwezi

Wastaafu kima cha chini kulipwa 250,125.9/- kwa mwezi

KATIKA mwaka 2025/26, Serikali itaongeza kima cha chini cha pensheni ya kila mwezi kwa wastaafu wanaolipwa na hazina kutoka shs 100,125.9 hadi shs 250 [...]
Waziri Kombo aongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Waratibu wa Utekelezaji wa Maazimio ya FOCAC

Waziri Kombo aongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Waratibu wa Utekelezaji wa Maazimio ya FOCAC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Wara [...]
Tanzania kuzisaidia nchi tisa masuala ya utabiri hali ya hewa

Tanzania kuzisaidia nchi tisa masuala ya utabiri hali ya hewa

Kutokana na Mamlaka ya Hewa Tanzania (TMA) kuendelea kuhimili viwango vya utoaji huduma kimataifa, Tanzania kupitia TMA imepewa jukumu la kusaidia nch [...]
MSD yapokea bilioni 100 kwa ajili ya kuongeza uzalishaji

MSD yapokea bilioni 100 kwa ajili ya kuongeza uzalishaji

Bohari ya Dawa (MSD), imepokea zaidi ya shilingi bilioni 100 ikiwa ni mtaji wa kuimarisha uwezo wake wa kifedha kwa kuongeza uzalishaji wa dawa na upa [...]
Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania aanza ziara ya kikazi nchini China

Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania aanza ziara ya kikazi nchini China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amewasili jijini Beijing, China tarehe 9 Juni 2025 [...]
Bodi ya Mikopo kufungua dirisha la mikopo elimu ya juu Juni 15

Bodi ya Mikopo kufungua dirisha la mikopo elimu ya juu Juni 15

SERIKALI imetangaza kuwa miongozo ya mikopo ya elimu kwa mwaka wa masomo 2025/2026 itapatikana katika lugha za Kiingereza na Kiswahili kwenye tovuti z [...]
Serikali imevuka lengo la ukuaji Pato la Taifa

Serikali imevuka lengo la ukuaji Pato la Taifa

Wizara ya Fedha imesema imevuka lengo la ukuaji hali wa Pato la Taifa. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amesema mwaka jana pato hilo lilikua kwa [...]
Serikali: Huduma za afya zimeimarika

Serikali: Huduma za afya zimeimarika

Serikali imesema katika kipindi cha Julai 2024 hadi Machi 2025, jumla ya wananchi 39,386,226 ya walihudhuria na kupata huduma katika vituo vya kutolea [...]
CCM yapanga kuongeza mchango wa sekta ya utalii kwenye Pato la Taifa

CCM yapanga kuongeza mchango wa sekta ya utalii kwenye Pato la Taifa

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinataka mchango wa sekta ya utalii ufike asilimia 20 katika Pato la Taifa ifikapo mwaka 2030. Katika Ilani ya Uchaguzi w [...]
Zaidi ya shule 20,000 za msingi na 5,000 za sekondari zina vyanzo vya maji vya uhakika

Zaidi ya shule 20,000 za msingi na 5,000 za sekondari zina vyanzo vya maji vya uhakika

Serikali imesema kuwa shule 5,311 za Sekondari zina vyanzo vya maji vya uhakika, huku pia shule 20,509 za msingi zina vyanzo vya maji ya uhakika. K [...]
1 5 6 7 8 9 256 70 / 2555 POSTS
error: Content is protected !!