Author: Cynthia Chacha
Rais Samia anavyoimarisha mifumo ya chakula na kilimo
Rais Dkt. Samia Suluhu ameridhia Tanzania kuwa mwenyeji wa Mkutano mkubwa wa Kilimo utakaohusisha Viongozi, watu mashuhuri na wadau wapya 3,000.
Ua [...]
Serikali kufikisha umeme vijiji vyote 2030
Serikali ya Tanzania imedhamiria kuimaliza changamoto ya ukosefu wa umeme katika vijiji vyote vya nchi hiyo ifikapo mwaka 2030.
Serrikali imeonyesh [...]
Magazeti ya leo Desemba 13,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Desemna 13,2022.
[...]
Simba na Casablanca, Yanga na TP Mazembe
Draw za michuano ya klabu bingwa barani Afrika pamoja na ile ya Shirikisho barani humo tayari imekwisha wekwa wazi huku vilabu vya Tanzania vikianguki [...]
Tanzania kuandaa mkutano wa UNESCO
Tanzania imepewa nafasi ya kuandaa mkutano mkubwa wa maadhimisho ya miaka hamsini (50) ya utekelezaji wa mkataba wa 82 wa UNESCO utakaofanyika leo tar [...]
Ufafanuzi mabehewa mapya ya MGR
Shirika la Reli la Tanzania- TRC limetoa ufafanuzi kuhusu mabahewa mapya ishirini na mbili (22) ya reli ya zamani yaliyonunuliwa na Serikali ya Jamhur [...]
Rais Samia asamehe wafungwa 1,631, 101 waachiwa
Rais Dkt Samia kwa ujumla wake ametoa msamaha kwa wafungwa 1,631, ambapo 1,530 kati yao watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki baad [...]
Viumbe Ziwa Tanganyika wakadiriwa kupotea
Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa raisi (Muungano na mazingira) nchini Tanzania Dr. Seleiman Jafo ametahadharisha upotevu wa viumbe washio katika ziwa [...]
Celine Dion hawezi kupona
Muimbaji nguli wa muziki wa sauti za pole pole katika aina za muziki za pop, chanson pamoja na Soft Rock, Celine Dion, anakabiliwa na ugonjwa usiweza [...]
Morocco yaandika historia
Timu ya Taifa ya Morocco imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya kombe la dunia inayoendelea huko nchini Qatar baada ya kuifunga timu [...]