Author: Cynthia Chacha

1 82 83 84 85 86 268 840 / 2676 POSTS
Rais Samia awataka walionufaika na mikopo ya elimu kurudisha

Rais Samia awataka walionufaika na mikopo ya elimu kurudisha

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanafunzi walionufaika na mikopo ya elimu ya juu kukumbuka kurudisha fedha hizo ili ziweke k [...]
14 wakamatwa kwa tuhuma za kupora katika ajali Tanga

14 wakamatwa kwa tuhuma za kupora katika ajali Tanga

Jeshi la Polisi, Mkoa wa Tanga limewakamata watu 14 ambao wanatuhumiwa kufanya uporaji katika ajali iliyohusisha vifo vya watu 20 na majeruhi 12 iliyo [...]
Magazeti ya leo Februari 11,2023

Magazeti ya leo Februari 11,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Februari 11,2023. [...]
Magazeti ya leo Februari 10,2023

Magazeti ya leo Februari 10,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Februari 10,2023. [...]
Namna ya kusherekea Valentine’s Day kama upo ‘singo’

Namna ya kusherekea Valentine’s Day kama upo ‘singo’

Ikiwa inakaribia siku ya wapendanao tarehe 14 mwezi Februari, tayari mitandaoni watu wameanza kuonyesha shauku ya kusubiria siku hiyo huku wengi wao w [...]
Bil 2.6 zalipwa na NSSF kwa vyeti feki

Bil 2.6 zalipwa na NSSF kwa vyeti feki

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jmaii (NSSF) imetumia Sh bilioni 2.6 kuwalipa watumishi 183 waliofutiwa ajira kwa kukutwa na vyeti feki. Taarifa hiyo [...]
Magazeti ya leo Februari 9,2023

Magazeti ya leo Februari 9,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Februari 9,2023. [...]
Bandari ya Mtwara kuwa kitovu cha meli kubwa

Bandari ya Mtwara kuwa kitovu cha meli kubwa

Bandari ya Mtwara inatarajia kuwa kitovu cha kupokea meli kubwa za makasha kisha kuyapeleka nchi nyingine kwa kutumia meli ndogo. Kaimu Meneja wa B [...]
Magazeti ya leo Februari 8,2023

Magazeti ya leo Februari 8,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Februari 8,2023. [...]
Rais Samia awalilia waliofariki Syria na Uturuki

Rais Samia awalilia waliofariki Syria na Uturuki

Rais Samia Suluhu Hassan ameungana na viongozi mbalimbali duniani kuomboleza vifo vya zaidi ya watu 3,500 waliofariki dunia baada ya kutokea kwa tetem [...]
1 82 83 84 85 86 268 840 / 2676 POSTS
error: Content is protected !!