Author: Cynthia Chacha
EU yaipatia Tanzania Bil.34 kufikisha umeme vijijini
Dhamira ya serikali ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha umeme unafika mpaka vijijini kwa namna yoyote inaenda kutimia, baada ya Wakala wa Nishati Vijijini [...]
Magazeti ya leo Novemba 22,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Novemba 22,2022.
[...]
Rais Samia atoa milioni 70 kuisaidia Doris Mollel Foundation
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amechangia Tsh. Milioni 70 kwa Doris Mollel Foundation, ambapo Tsh. Milioni 20 ameitoa kuw [...]
Rushwa chanzo cha chaguzi CCM kufutwa na kusimamishwa
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amefuta na kusitisha baadhi ya Chaguzi ngazi ya Mikoa kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo rush [...]
Ramadhani Brothers wameiwakilisha vyema Tanzania
Wanasarakasi wa Kitanzania Ramadhani Brothers, wamefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano ya Australia Got Talent lakini kushindwa kutwaa ubingwa [...]
Rais Samia atunukiwa tuzo ya Kiongozi Bora AFRIMMA 2022
Waandaji wa tuzo za AFRIMMA wamemtunukua Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya Uongozi Bora kwa mwaka 2022 kutokana na mchango wake katika ku [...]
Magazeti ya leo Novemba 21,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Novemba 21,2022.
[...]

Serikali kufanya mabadiliko ya Sera yake
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na mabadiliko ya kiuchumi duniani, Serikali itafanya mapitio ya Sera yake ya mambo ya nje iliyodumu kwa miak [...]
Magazeti ya leo Novemba 19,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Novemba 19,2022.
[...]
Bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya magari
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) inakamilisha mchakato wa kuanza kutoa bei elekezi za gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari.
Pi [...]