Author: Cynthia Chacha
Madereva wa malori bandarini Dar waigomea TICTS
Madereva malori wameigomea kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es Salaam (TICTS) kutokana ucheleweshaji mkubwa [...]
Mgawo wa maji mbioni kuisha
Wakazi wa wilaya ya Ilala, Kigamboni na Temeke wako mbioni kusahau mgawo wa maji baada ya Mkuu wa MKoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla jana kuwasha pam [...]
Tanzania ya pili utoaji chanjo ya Uviko-19 Afrika
Mratibu Kiongozi Kimataifa wa Ubia wa Utoaji wa chanjo ya UVIKO-19 Bw. Ted Chaiban ameipongeza Tanzania na nchini nyingine Barani Afrika pamoja na wad [...]
Magazeti ya leo Oktoba 29,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Oktoba 29,2022.
[...]
Korea yaipa Tanzania mkopo nafuu Sh bil. 310
Serikali ya Jamhuri ya Korea imetoa mkopo wa gharama nafuu wa sh bilioni 310 kwa Tanzania kwa ajili ya upanuzi wa mfumo wa utambuzi wa Mamlaka ya Vita [...]
Wenye visima ruksa kusambaza maji
Wakati Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) ikitoa ratiba ya mgao wa maji, Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametembelea eneo la mat [...]
Magazeti ya leo Oktoba 28,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Oktoba 28,2022.
[...]
Yanga yamtambulisha mwingine
Klabu ya Yanga imemtangaza Abdullazez Kipanduka kama ongezeko jipya kwenye timu yao ya Maudhui chini ya kitengo cha Habari.
Abdul ambaye alikuw [...]
Ombi la watumishi la miaka 5 lajibiwa na Rais Samia
July 13,2017 akiwa Waziri wa Utumishi wa Umma, Mhe. Angela Kairuki alisema hatima ya kulipwa mafao kwa watumishi waliokutwa na vyeti feki serikali ita [...]
Ratiba ya mgao wa maji Dar kuanzia Oktoba 27 hadi 30, 2022
Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam(DAWASA) imetangaza Ratiba mgao wa huduma ya maji kwa wakazi wa Dar es Salaam kuanzia Alhamisi Okto [...]