Category: Kimataifa

1 9 10 11 12 13 55 110 / 550 POSTS
China haifungui kituo cha polisi Tanzania

China haifungui kituo cha polisi Tanzania

Watanzania wametakiwa kupuuzia taarifa iliyotolewa na idhaa ya kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kuwa  nchi ya China ina mpango wa [...]
OKTOBA 13 : No Bra Day

OKTOBA 13 : No Bra Day

OKTOBA 13 kila mwaka ni siku maalum ya kupaza sauti na kufanya watu watambuE kwamba saratani ya matiti ipo na hivyo ni muhimu wanawake wakajijengea ut [...]
Tanzania na Kenya zapanga kuondoa vikwazo 14 vya biashara

Tanzania na Kenya zapanga kuondoa vikwazo 14 vya biashara

Huenda uchumi wa Tanzania na Kenya ukakua zaidi kwa siku za usoni mara baada ya viongozi wakuu wa mataifa hayo kuwaagiza mawaziri wa biashara na uweke [...]
Ushirikiano: Siri ya mafanikio Kenya na Tanzania

Ushirikiano: Siri ya mafanikio Kenya na Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameeleza mambo aliyozungumza na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. William Ruto ambaye y [...]
Rais Ruto kuwasili Tanzania leo

Rais Ruto kuwasili Tanzania leo

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. Dkt. William Samoei Ruto anatarajiwa kuwasili nchini leo jioni kwa ziara ya kikazi ya siku mbili (tarehe 09-10,Oktoba 2 [...]
Waliokutwa na hatia ya kumiliki na kutumia bangi wasamehewa

Waliokutwa na hatia ya kumiliki na kutumia bangi wasamehewa

Rais wa Marekani, Joe Biden amewasamehe watu wote waliokutwa na hatia ya kumiliki bangi. Biden alitoa wito kwa majimbo ya Marekani kutekeleza hatua [...]
Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameomba msamaha wananchi wa Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na mijadala iliyoanzishwa na mtoto wake Jene [...]
Dkt. Tax ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Dkt. Tax ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Amemteua Mhe. Dkt. Stergomena L [...]
Rais Samia ashinda tuzo 2

Rais Samia ashinda tuzo 2

Rais Samia Suluhu Hassan ametangazwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Watetezi na Amani kuwa mshindi wa tuzo mbili za kimataifa ikiwemo ya amani duniani 202 [...]
Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali

Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali

Polisi nchini Kenya wanamtafuta kijana wa Kitanzania anayedaiwa kumua mwenzake wakigombani bakuli la ugali. Kamanda wa Polisi Kaunti ya Narok, Kizi [...]
1 9 10 11 12 13 55 110 / 550 POSTS
error: Content is protected !!