Category: Kimataifa
Orodha ya Waombaji waliodahiliwa zaidi ya Chuo Kimoja
Orodha ya Waombaji waliodahiliwa zaidi ya Chuo Kimoja au Programu zaidi ya moja
[...]
Karani wa Sensa ajinyonga Tabora
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dkt. Batilda Buriani ametoa taarifa ya kifo cha mmoja kati ya makarani wa Sensa wilayani Igunga mkoani Tabora aliyefahamika kwa [...]
Wenye ulemavu wamshukuru Rais Samia kwa utaratibu mzuri wa sensa
Walemavu wa viungo mkoani Mtwara, wameishukuru serikali chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuweka utaratibu mzuri ambao umewawezesha kushiriki kik [...]
Karani aporwa kishkwambi Katavi
Karani wa Sensa Kata ya Majimoto, Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, mkoani Katavi, Kenan Kasekwa, amevamiwa usiku wa kuamkia leo na kuporwa kishikwamb [...]
Mtoto wa Simbachawene kupanda kizimbani kesho
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linatarajia kumfikisha mahakamani kesho mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bun [...]
Wahadzabe wapewa Nyumbu 20, wakubali kuhesabiwa
Jamii ya Wahadzabe iliyopo katika eneo la Yaeda Chini jana wamekabidhiwa kitoweo cha nyama pori aina ya Nyumbu na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro N [...]
Sensa kutoa majibu vifo vya wajawazito
Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema kuwa sensa ya mwaka huu inakwenda kutoa majibu ya ukubwa wa tatizo la vifo vya wajawazito na watoto wa changa.
[...]
Odinga awasilisha pingamizi kieletroniki
Timu ya wanasheria wa mgombea urais wa Azimio Raila Odinga tayari imewasilisha nakala ya kielektroniki ya ombi la kupinga ushindi wa Rais Mteule Willi [...]
Mrema afariki dunia
Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Agustino Lyatonga Mrema (77) amefariki dunia leo Jumapili, Agosti 21,2022 saa 12:15 asubuhi, katika Hospitali ya Taifa ya [...]
Khaby wa Tiktok apewa rasmi uraia wa Italia
Mchekeshaji Khaby Lame, anayeongoza kwa kufuatiliwa zaidi kwenye mtandao wa TikTok duniani, amepewa uraia wa Italia katika hafla iliyofanyika katika m [...]