Category: Kimataifa
Watu wanne wamefariki Kenya, vurugu za Uchaguzi Mkuu
Licha ya juhudi za wagombea wa viti mbalimbali nchini Kenya kulaani vurugu na kuwataka wafuasi wao kuwa watulivu wakati shughuli ya kuhesabu kura ik [...]
Rais Samia atangaza ujio wa Filamu ya The Hidden Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema kwamba vivutio ambavyo havikuonyeshwa kwenye awamu ya kwanza ya filamu ya Ro [...]
Gharama ya kumuona daktari mbioni kufutwa
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ameshangazwa na baadhi ya hospitali kuwatoza wagonjwa kiasi cha shilingi 15,000 ili kuweza kumuona daktari jambo ambalo s [...]
Vijana wanavyoinuliwa na Rais Samia kupitia vyuo vya ujuzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya Awamu ya Sita imejizatiti katika kutoa elimu ujuzi na hivyo itaen [...]
Picha za Muonekano wa Barabara ya Njombe- Makete KM 107.4
Muonekano wa Barabara ya Njombe-Makete km 107.4 ambayo imefunguliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika h [...]
Kampuni inatafuta watu wa kulala na kuwalipa
Kampuni ya utengenezaji magodoro inayofahamika kwa jina la Casper nchini Marekani, imetangaza nafasi za kazi ya kulala usingizi kwa watu watakao kuwa [...]
WhatsApp kuwaongezea nguvu Ma-admin
Mtandao wa kijamii wa WhatsApp siku zijazo utawaongezea nguvu viongozi wa makundi ya mtandao huo kuwa na uwezo wa udhibiti ikiwemo kufuta ujumbe wa wa [...]
Tanzania na Zambia zafufua uhusiano na ushirikiano
Ukurasa mpya ndiyo unavyoweza kusema baada ya Tanzania na Zambia kufufua upya uhusiano wa kindugu na ushirikiano katika sekta mbalimbali ikiwemo kilim [...]
DK. Kikwete achaguliwa kuongoza uchaguzi Kenya
Rais wa awamu ya nne wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuongoza ujumbe wa Wachunguzi wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya kutoka Jumuiya ya Afrik [...]
‘Girlfriends day’ ni kwa Marekani tu
Leo Agosti 1, ni siku ya marafiki wa kike ‘girlfriends day’ na tofauti na ilivyo kwa siku ya wapendanao, siku hii ni mahususi kwa wanawake kwa ajili y [...]