Category: Kimataifa

1 15 16 17 18 19 60 170 / 592 POSTS
Marais wa Afrika kupakiwa kwenye basi ni dhihaka?

Marais wa Afrika kupakiwa kwenye basi ni dhihaka?

Na Abbas Mwalimu (0719258484). Jumatatu tarehe 19 Septemba, 2022. Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu viongozi  wa Afrika kupakiwa kwenye usafi [...]
Msimamo wa Tanzania bomba la mafuta EACOP

Msimamo wa Tanzania bomba la mafuta EACOP

Serikali ya Tanzania imesema ya kwamba miradi yote mikubwa inayotekelezwa nchini humo inafuata sheria na kanuni za kimataifa ikiwemo za utunzaji wa ma [...]
Lita ya petroli Nairobi Sh3469.94

Lita ya petroli Nairobi Sh3469.94

Lita moja ya petroli jijini Nairobi sasa itauzwa kwa Sh3469.94 (Ksh179.30) kutoka Ksh159 katika bei mpya iliyotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Nisha [...]
Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana

Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kutoa msaada wa kutosha kwa wajasiriamali wanawake na vijan [...]
Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II

Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II

Malkia Elizabeth alikuwa mfalme wa mitindo na darasa kwa watu wengi. Zaidi ya miaka 70 ya utawala wake amekuwa akionekana kwenye mitindo mbalimbali ya [...]
10 Septemba siku ya kuzuia kujiua

10 Septemba siku ya kuzuia kujiua

Nchini Marekani, mwezi Septemba ni maalum kuhakikisha unazuia mtu kujiua kwani wanaamini tunaishi katika nyakati ngumu hivyo mtu anaweza kuchukua maam [...]
Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III

Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III

Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth, Mkuu wa zamani wa Wales, Charles, amerithi kiti cha ufalme bila sherehe yoyote. Hata hivyo, kuna idadi ya hatua za [...]
Rais amfukuza kazi waziri mkuu akihofia kupinduliwa

Rais amfukuza kazi waziri mkuu akihofia kupinduliwa

Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amemfuta kazi waziri mkuu na msaidizi wake mkuu katika msako mkubwa jana baada ya kuonya kuhusu njama za mapind [...]
Tanzania kumpa ushirikiano Ruto

Tanzania kumpa ushirikiano Ruto

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema ataendelea kufanya kazi na Rais mteule wa Kenya, Dk. William Ruto, kudumisha uhusiano wa kihistoria na undugu baina [...]
Tanzania, Venezuela zasaini makubaliano ya kisiasa

Tanzania, Venezuela zasaini makubaliano ya kisiasa

Serikali ya Tanzania na Serikali ya Venezuela zimesaini Hati za Makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kisiasa na mkataba wa ushirikiano katika nyanja m [...]
1 15 16 17 18 19 60 170 / 592 POSTS
error: Content is protected !!