Category: Kimataifa
Watangazaji walazimika kuficha sura
Sheria mpya ya viongozi wa Taliban nchini Afghanistan imewalazimisha waandishi wa habari na watangazaji wanawake kuziba nyuso zao wanapoonekana kwenye [...]
Jinsi ya kunywa pombe
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua tovuti inayoelimisha jamii kuhusu unywaji wa pombe wa kistaarabu ambayo ipo kwa lugha ya kiingereza na kis [...]
Sababu za watumishi kukosa nidhamu
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kukosekana kwa mafunzo ya kada mbalimbali za utumishi wa umma ni miongoni mwa sababu zinazochangia kutet [...]
Tanzania 10 bora uvutaji bangi Afrika
Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvu [...]
Dkt. Mpango na safari ya Uswisi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 20 Mei 2022 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Davos nchini Us [...]
Wapata mtoto wa kiume
Mwanamuziki nyota Rihanna na rapa A$AP Rocky wameripotiwa kupata mtoto wao wa kwanza, baada ya ujauzito ambao mwimbaji huyo alijidhihirisha katika ure [...]
Nchi 10 zenye furaha Afrika
Toleo la 10 la Ripoti ya Furaha Duniani, uchapishaji wa Mtandao wa Sustainable Development Solutions wa Umoja wa Mataifa, umetumia uchanganuzi wa takw [...]
Elon Musk asita
Bilionea Elon Musk amesema amesitisha kwa muda mchakato wa ununuzi mtandao wa Twitter wenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 44 (Sh102.3 trilioni) [...]
Unaweza kutoka katika makundi kimyakimya
WhatsApp inafanyia kazi kipengele kipya ambacho kitakuwezesha kuondoka kwenye vikundi kimyakimya kwani mara nyingi si vizuri unapoachana na gumzo la k [...]
Balozi Mulamula ateta na wafanyabiashara wa Switzerland
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa wafanyabiashara kutoka N [...]

