Category: Kimataifa

1 27 28 29 30 31 61 290 / 604 POSTS
Fahamu Ukweli kuhusu Monkeypox

Fahamu Ukweli kuhusu Monkeypox

Hivi karibuni  zaidi ya watu 80 katika takriban nchi 12 za Ulaya wameambukizwa na Homa ya nyani. Kesi ya kwanza iliyoripotiwa nchini Uingereza ilik [...]
Museveni : Kuleni mtama na mihogo

Museveni : Kuleni mtama na mihogo

Hotuba ya Rais wa Uganda Yoweri Museveni kuhusu kupanda kwa bei ya bidhaa haikutoa ahueni kwa mamilioni ya Waganda ambao wako kwenye ukingo wa kutumbu [...]
Watangazaji walazimika kuficha sura

Watangazaji walazimika kuficha sura

Sheria mpya ya viongozi wa Taliban nchini Afghanistan imewalazimisha waandishi wa habari na watangazaji wanawake kuziba nyuso zao wanapoonekana kwenye [...]
Jinsi ya kunywa pombe

Jinsi ya kunywa pombe

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imezindua tovuti inayoelimisha jamii kuhusu unywaji wa pombe wa kistaarabu ambayo ipo kwa lugha ya kiingereza na kis [...]
Sababu za watumishi kukosa nidhamu

Sababu za watumishi kukosa nidhamu

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kukosekana kwa mafunzo ya kada mbalimbali za utumishi wa umma ni miongoni mwa sababu zinazochangia kutet [...]
Tanzania 10 bora uvutaji bangi Afrika

Tanzania 10 bora uvutaji bangi Afrika

Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvu [...]
Dkt. Mpango na safari ya Uswisi

Dkt. Mpango na safari ya Uswisi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango leo tarehe 20 Mei 2022 anatarajiwa kuondoka nchini kuelekea Davos nchini Us [...]
Wapata mtoto wa kiume

Wapata mtoto wa kiume

Mwanamuziki nyota Rihanna na rapa A$AP Rocky wameripotiwa kupata mtoto wao wa kwanza, baada ya ujauzito ambao mwimbaji huyo alijidhihirisha katika ure [...]
Nchi 10 zenye furaha Afrika

Nchi 10 zenye furaha Afrika

Toleo la 10 la Ripoti ya Furaha Duniani, uchapishaji wa Mtandao wa Sustainable Development Solutions wa Umoja wa Mataifa, umetumia uchanganuzi wa takw [...]
Elon Musk asita

Elon Musk asita

Bilionea Elon Musk amesema amesitisha kwa muda mchakato wa ununuzi mtandao wa Twitter wenye thamani ya Dola za Marekani  bilioni 44 (Sh102.3 trilioni) [...]
1 27 28 29 30 31 61 290 / 604 POSTS
error: Content is protected !!