Category: Kimataifa

1 33 34 35 36 37 55 350 / 550 POSTS
Hii hapa Ramani mpya ya EAC

Hii hapa Ramani mpya ya EAC

Rais Uhuru Kenyatta, Paul Kagame na Yoweri Museveni wa Kenya, Rwanda na Uganda mtawalia, leo Aprili 6, wamezindua ramani mpya ya Jumuiya Afrika Mashar [...]
Magonjwa 7 yaliyoua zaidi duniani

Magonjwa 7 yaliyoua zaidi duniani

Asian Flu (1956-1958) Vifo milioni 2 Haya ni mafua yaliyoanzia Guizhou, China na yalidumu kwa miaka miwili. Haya mafua yalienea hadi Singapore, Ma [...]
Vita ya Urusi-Ukraine ilivyoathiri bei za mafuta

Vita ya Urusi-Ukraine ilivyoathiri bei za mafuta

Kupanda kwa bei ya mafuta kumewaacha wamiliki wa vyombo vya moto, madereva daladala hata watembea kwa miguu kutaharuki pasi na kujua kuwa Tanzania si [...]
Wahifadhi wabaka wananchi waishio mbugani

Wahifadhi wabaka wananchi waishio mbugani

Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro imekuwa hema kwa familia nyingi za jamii ya kimasai ambao huishi humo pamoja na wanyama hao kama ilivyo kwa Wabatwa kat [...]
Mambo sita ya kufanya kabla ya miaka 30

Mambo sita ya kufanya kabla ya miaka 30

'Siku hazigandi', msemo wenye ukweli usiofichika aliowahi kuimba Lady Jaydee. Bila kujipanga siku, mwezi na mwaka vitaisha ukiwa unazidi kuongeza miak [...]
Maelezo juu ya kupanda kwa bei za mafuta

Maelezo juu ya kupanda kwa bei za mafuta

Bei za mafuta duniani zimepanda hali ambayo imeathiri pia bei za mafuta hapa Tanzania.  Kupanda kwa bei za mafuta sio jambo geni, limewahi kutokea [...]
Elon Musk ainunua Twitter apanga kufanya haya

Elon Musk ainunua Twitter apanga kufanya haya

Bilionea Elon Musk ambaye pia ndio mmiliki wa kampuni ya magari ya umeme ya Tesla sasa hivi ndio mmiliki mwenye hisa nyingi zaidi Twitter baada ya kup [...]
Wizkid hali mbaya

Wizkid hali mbaya

Msanii kutoka nchini Nigeria, Wizkid amekosa tuzo katika vipengele viwili vya Best Global Music Performance na Best Global Music Album jambo lililoibu [...]
Sababu za Afrika kukaa kando vita Urusi-Ukraine

Sababu za Afrika kukaa kando vita Urusi-Ukraine

Vita ya Ukraine na Urusi ambayo bado inaendelea imeitikisa dunia kwa kiwango kikubwa huku nchi, na kampuni mbalimbali zikichagua upande wa kuegemea ka [...]
Miaka 5 jela kwa kutumia mualama uliokosewa

Miaka 5 jela kwa kutumia mualama uliokosewa

Maskini akipata, matako hulia mbwata ndio msemo unaoweza kufananishwa na kile alichofanya Sibongile Mani, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Walter Sisulu ( [...]
1 33 34 35 36 37 55 350 / 550 POSTS
error: Content is protected !!