Category: Kimataifa
Hii hapa Ramani mpya ya EAC
Rais Uhuru Kenyatta, Paul Kagame na Yoweri Museveni wa Kenya, Rwanda na Uganda mtawalia, leo Aprili 6, wamezindua ramani mpya ya Jumuiya Afrika Mashar [...]
Magonjwa 7 yaliyoua zaidi duniani
Asian Flu (1956-1958)
Vifo milioni 2
Haya ni mafua yaliyoanzia Guizhou, China na yalidumu kwa miaka miwili. Haya mafua yalienea hadi Singapore, Ma [...]
Vita ya Urusi-Ukraine ilivyoathiri bei za mafuta
Kupanda kwa bei ya mafuta kumewaacha wamiliki wa vyombo vya moto, madereva daladala hata watembea kwa miguu kutaharuki pasi na kujua kuwa Tanzania si [...]
Wahifadhi wabaka wananchi waishio mbugani
Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro imekuwa hema kwa familia nyingi za jamii ya kimasai ambao huishi humo pamoja na wanyama hao kama ilivyo kwa Wabatwa kat [...]
Mambo sita ya kufanya kabla ya miaka 30
'Siku hazigandi', msemo wenye ukweli usiofichika aliowahi kuimba Lady Jaydee. Bila kujipanga siku, mwezi na mwaka vitaisha ukiwa unazidi kuongeza miak [...]
Maelezo juu ya kupanda kwa bei za mafuta
Bei za mafuta duniani zimepanda hali ambayo imeathiri pia bei za mafuta hapa Tanzania.
Kupanda kwa bei za mafuta sio jambo geni, limewahi kutokea [...]
Elon Musk ainunua Twitter apanga kufanya haya
Bilionea Elon Musk ambaye pia ndio mmiliki wa kampuni ya magari ya umeme ya Tesla sasa hivi ndio mmiliki mwenye hisa nyingi zaidi Twitter baada ya kup [...]
Wizkid hali mbaya
Msanii kutoka nchini Nigeria, Wizkid amekosa tuzo katika vipengele viwili vya Best Global Music Performance na Best Global Music Album jambo lililoibu [...]
Sababu za Afrika kukaa kando vita Urusi-Ukraine
Vita ya Ukraine na Urusi ambayo bado inaendelea imeitikisa dunia kwa kiwango kikubwa huku nchi, na kampuni mbalimbali zikichagua upande wa kuegemea ka [...]
Miaka 5 jela kwa kutumia mualama uliokosewa
Maskini akipata, matako hulia mbwata ndio msemo unaoweza kufananishwa na kile alichofanya Sibongile Mani, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Walter Sisulu ( [...]