Category: Kimataifa

1 37 38 39 40 41 55 390 / 550 POSTS
Kampuni  ya Elon Musk inakabiliwa na madai ya unyanyasaji wa wanyama

Kampuni  ya Elon Musk inakabiliwa na madai ya unyanyasaji wa wanyama

Kampuni ya San Francisco Neuralink, inayoendeshwa  na Elon Musk, imekuwa ikifanya kazi kwenye chip ambayo inaweza kupandwa kwenye ubongo wa mwanadamu [...]
Tanzania kuanza kutengeneza chanjo zake za Covid-19

Tanzania kuanza kutengeneza chanjo zake za Covid-19

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inataka kuanzisha kiwanda cha kutengeneza chanjo ndani ya nchi kama sehemu ya mipango mipana ya kukabil [...]
Tanzania na Ufaransa zatia saini mikataba sita

Tanzania na Ufaransa zatia saini mikataba sita

Serikali za Tanzania na Ufaransa leo zimetia saini jumla ya mikataba sita ya makubaliano kwa nia ya kuendeleza uhusiano baina ya nchi hizo mbili. W [...]
Rais wa Liberia aanika siri za mkewe

Rais wa Liberia aanika siri za mkewe

Rais George Weah wa Liberia amesababisha taharuki nchini humo baada ya kuzindua kitabu chake huku wanawake nchini Liberia wakijiandaa kuandamana kwa k [...]
Amteka nyara mtoto wake, amuua kisha kujinyoga.

Amteka nyara mtoto wake, amuua kisha kujinyoga.

Mwanaume mmoja jijini Nairobi aliyetambulika kwa jina la Victor Aiyeko anasemekana kumteka nyara mtoto wake mwenye umri wa miaka 3, kumuua na kisha ku [...]
Sokwe dume mzee zaidi duniani, afariki akiwa na umri wa miaka 61 katika Zoo Atlanta

Sokwe dume mzee zaidi duniani, afariki akiwa na umri wa miaka 61 katika Zoo Atlanta

Sokwe dume mzee zaidi duniani anayefahamika kwa jina la Ozzie, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 61 katika hifadhi ya wanyama nchini Atlanta huku [...]
Afariki nyumba ya wageni baada ya kuzidisha vidonge vya kuongeza nguvu za kiume

Afariki nyumba ya wageni baada ya kuzidisha vidonge vya kuongeza nguvu za kiume

Polisi nchini Kenya Kaunti ya Homa Bay wameanzisha uchunguzi kuhusu kifo cha mwanaume mwenye umri wa miaka 55 aliyekutwa amefariki kwenye nyumba ya ku [...]
Mke auliwa na mchepuko wake

Mke auliwa na mchepuko wake

Mwili wa mwanamke aliyetambulika kwa jina la Teddy Mallya mkazi wa Ilboru Kisiwani, Arumeru mkoani Arusha umekutwa umetupwa kwenye shamba la migomba a [...]
Mbaroni kwa kutaka kuuza ardhi ya Rais wa Kenya

Mbaroni kwa kutaka kuuza ardhi ya Rais wa Kenya

Watu wanne wamewekwa kizuizini na mahakama ya Nairobi kwa shutuma za kupanga njama za kuuza ardhi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta huko Karen nchini h [...]
KFC Kenya kuanza kuuza ugali baada ya kuishiwa viazi vya ‘chipsi’

KFC Kenya kuanza kuuza ugali baada ya kuishiwa viazi vya ‘chipsi’

Mwanzoni mwa mwaka 2022 KFC Kenya ilipata changamoto ya kuishiwa kwa viazi wanavyotumia kuandaa ‘chipsi’ na kufanya wengi kujiuliza kwanini wanashindw [...]
1 37 38 39 40 41 55 390 / 550 POSTS
error: Content is protected !!