Category: Kitaifa
Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa na mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuweza kujitosheleza kwa chakul [...]
Dkt. Mpango asisitiza wananchi kuliombea taifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 22 Julai 2022 ameshiriki ibada ya kawaida ya asubuhi katik [...]
Maoni ya ACT Wazalendo kuhusu utendaji kazi wa Kampuni binafsi ya kimataifa ya kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS).
Baada ya wadau wa sekta za biashara na usafirishaji kuiomba serikali kutoiongezea mkataba mpya kampuni ya TICTS eneo la bandari ya Dar es Salaam kwa k [...]
IGP Wambura aanza kazi
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camilus Wambura amewataka wananchi wa jiji la Arusha kuendelea kutunza amani iliyopo na kutokujiingiza kwenye viten [...]
Bi. Sonia afariki
Muigizaji wa filamu, Farida Sabu maarufu Bi Sonia amefariki dunia.
Taarifa iliyotolewa na kuthibitishwa na Mwenyekiti wa Chama cha Waigizaji, Chiki [...]
Mradi mkubwa wa maji kujengwa Mwanza
Huenda wakazi wanaoishi kusini mwa jiji la Mwanza wakaondokana na shida ya upatikanaji wa maji safi na salama baada ya Serikali kuweka mikakati ya kub [...]
IGP au IJP ?
Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO), Gerson Msigwa, ametoa ufafanuzi wa tofauti kuhusu kiswahili cha neno IGP kuwa IJP [...]
Wasifu wa Kingai
Ramadhani Kingai ameteuliwa kuwa DCI na Rais Samia Suluhu Hassan, Jumanne usiku, Julai 19,2022 akichukua nafasi ya Camilius Wamabura ambaye ameteuliwa [...]
Rais Samia na ukombozi wa mwanamke kupitia nishati safi ya kupikia
Juni 8,2021, katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Rais Samia Suluhu Hassan alionyesha wazi imani yake kubwa kwa wanawake na nia [...]
Uteuzi Ngorongoro
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.
[...]

