Category: Kitaifa

1 101 102 103 104 105 193 1030 / 1930 POSTS
Waziri Mkuu asimamisha kazi watumishi 9

Waziri Mkuu asimamisha kazi watumishi 9

Waziri Mkuu wa, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri na watumishi wengine tisa wa jij [...]
Benki ya Dunia yaipa pongezi Tanzania

Benki ya Dunia yaipa pongezi Tanzania

Benki ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa kuamua kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha kwenye maeneo ya uzalishaji kikiwemo kilimo, mifugo na uvuvi mambo amb [...]
Majina ya walioitwa kwenye usaili TSN

Majina ya walioitwa kwenye usaili TSN

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Magazeti ya Serikali (TSN) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walio [...]
Aagiza shule zifunge CCTV

Aagiza shule zifunge CCTV

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amezielekeza shule zote za sekondari ndani ya Jiji la Dodoma kufunga kamera za usalama (CCTV) kusaidia kubaini w [...]
Waliohamia Msomera waendelea kuwezeshwa

Waliohamia Msomera waendelea kuwezeshwa

Wananchi wa kaya 104 waliohamia Kijiji cha Msomera wilayani Handeni wakitokea Hifadhi ya Ngorongoro wamepatiwa vyandarua vitatu kwa kila nyumba sambam [...]
Rais Samia aguswa kifo cha Bi. Hindu

Rais Samia aguswa kifo cha Bi. Hindu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameguswa na kifo cha muigizaji nguli nchi na mtangazaji Chuma Selemani maarufu kama [...]
Rais Samia afanya uteuzi

Rais Samia afanya uteuzi

Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Habibu Juma Saidi Suluo kuwa Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA). Bwana Suluo [...]
Waziri wa Habari Sri Lanka ajiuzulu

Waziri wa Habari Sri Lanka ajiuzulu

Waziri wa Uchukuzi, Barabara na Vyombo vya Habari nchini Sri Lanka, Bandula Gunawardana ametangaz akujiuzulu katika nafasi hiyo ya uwaziri. Bandula [...]
TCU yafungua dirisha la udahili vyuo vikuu

TCU yafungua dirisha la udahili vyuo vikuu

Tume ya vyuo vikuu nchini (TCU) imefungua dirisha la udahili kwa masomo ya shahada ya kwanza mwaka wa masomo 2022/2023, kuanzia jana Julai 8 hadi Agos [...]
Reli katikati ya maji kujengwa Tanzania

Reli katikati ya maji kujengwa Tanzania

Shirika la Reli Tanzania (TRC) linafanya utafiti wa kuwa na reli katikati ya maji likiwamo la Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma na kuziunganisha na viwa [...]
1 101 102 103 104 105 193 1030 / 1930 POSTS
error: Content is protected !!