Category: Kitaifa

1 102 103 104 105 106 199 1040 / 1981 POSTS
Wadau wa Bandari waomba TICTS isiongezewe mkataba

Wadau wa Bandari waomba TICTS isiongezewe mkataba

Kampuni ya Kimataifa ya huduma ya Kontena Tanzania (TICTS) inadaiwa kushindwa kutekeleza makujukumu yake na wadau wa sekta za biashara na usafirishaji [...]
Alikua anajaribu kupita magari 8

Alikua anajaribu kupita magari 8

Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana [...]
Msuya ataka katiba ipatikane haraka

Msuya ataka katiba ipatikane haraka

Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya ameishauri Serikali kufikiria na kuona namna ya kufunga mjadala wa kupatikana Katiba mpya ili watu wajenge taifa bad [...]
Rais Samia afanya uteuzi TAWA na TALIRI

Rais Samia afanya uteuzi TAWA na TALIRI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi ufuatao; [...]
Rais Samia afanya uteuzi, Sirro awa Balozi Zimbabwe

Rais Samia afanya uteuzi, Sirro awa Balozi Zimbabwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Julai, 2022 amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- Amempandisha cheo Ka [...]
Mvua kunyesha hadi mwezi Agosti

Mvua kunyesha hadi mwezi Agosti

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema hali ya mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo ya Pwani ikiwemo jijini Dar es Salaam zitaendelea hadi [...]
Iringa, Mbeya na Njombe baridi yafika 4°C

Iringa, Mbeya na Njombe baridi yafika 4°C

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema kwamba hali ya baridi itaendelea kuwepo ambapo katika mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya baridi inatarajiw [...]
Kagongwa kupata umeme

Kagongwa kupata umeme

Waziri wa Nishati, January Makamba amemuagiza Meneja wa TANESCO Mkoa wa Shinyanga Mhandisi Grace Ntungi kuhakikisha ndani ya wiki mbili kuanzia jana J [...]
Kuandika wosia sio uchuro

Kuandika wosia sio uchuro

Wizara ya Katiba na Sheria imeiagiza Wakala wa Usajili, Ufilisia na Udhamini (RITA) kukusanya maoni kwa wananchi ya nini kinachosababisha wananchi kuw [...]
Mzee: hakuna haja kuandikwa katiba mpya

Mzee: hakuna haja kuandikwa katiba mpya

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi Mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Abdulhamid Yahya Mzee amesema hakuna haja ya kuandikwa katiba [...]
1 102 103 104 105 106 199 1040 / 1981 POSTS
error: Content is protected !!