Category: Kitaifa

1 109 110 111 112 113 184 1110 / 1834 POSTS
Ashikiliwa kwa kubaka watoto watatu

Ashikiliwa kwa kubaka watoto watatu

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia kijana mmoja mkazi wa Nshambya, Bukoba kwa tuhuma ya kuwabaka watoto watatu wa darasa la tatu na nne, weny [...]
Mwendokasi 1,500

Mwendokasi 1,500

Wakati Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) ikitarajia kufanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi yaendeyo haraka maarufu mwendokasi, Wakala wa [...]
Sababu ya Rais Samia kuelekeza tuzo kwa Magufuli

Sababu ya Rais Samia kuelekeza tuzo kwa Magufuli

Licha ya kupata tuzo ya heshima kuhusu ujenzi wa barabara barani Africa, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameelekeza tuzo hiyo kwa mtangulizi wake [...]
Rais Samia afanya uteuzi

Rais Samia afanya uteuzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:- a) Amemteua Bi. Sauda Kassim Msemo k [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 26, 2022

Viwango vya kubadili fedha Mei 26, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Mtwara wang’oa vibao vya anuani za makazi

Mtwara wang’oa vibao vya anuani za makazi

Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani imeeleza kusikitishwa na vitendo vya baadhi ya wananchi vya kung’oa vibao vya anuani ya makazi. Kufuati [...]
Madini ya Afrika yanayotumika kutengeneza simu

Madini ya Afrika yanayotumika kutengeneza simu

Utajiri mkubwa wa Afrika upo kwenye ardhi yake, ardhi yenye rutuba kustawisha mimea, lakini ardhi hiyohiyo yenye kuficha vito vya thamani na vya upeke [...]
Nafasi za kazi Manispaa ya Kinondoni

Nafasi za kazi Manispaa ya Kinondoni

Job vacancies Nafasi za kazi Kinondoni Municipal Council May 2022: Chief Executive Director of Kinondoni Municipal Council invites all Tanzanian citiz [...]
Spika apiga marufuku vituko bungeni

Spika apiga marufuku vituko bungeni

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson amepiga marufuku Wabunge kufanya vituko kama kupiga magoti au sarakasi wakati waki [...]
PM amsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji Arusha

PM amsimamisha kazi Mkurugenzi wa jiji Arusha

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Mei 24 amewasimamisha kazi watumishi sita wa jiji la Arusha akiwemo Mkurugenzi wa jij hilo Dkt. John Pima kwa makosa [...]
1 109 110 111 112 113 184 1110 / 1834 POSTS
error: Content is protected !!