Category: Kitaifa
Makamba atoa sababu za kutokuwepo bungeni
Waziri wa Nishati January Makamba amelazimika kuomba radhi ndani ya Bunge kufuatia kusababisha bunge kusimama kwa dakika 30 asubuhi baada ya yeye na N [...]
Shisha kufanyiwa uchunguzi
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa miezi miwili kufanyika tathmini ya madhara ya shisha kabla ya Serikali kuchukua uamuzi ya kuipiga marufuku na ku [...]
Ahadi ya Rais Samia kwa Lissu yatimia
Rais Samia Suluhu Hassana amekamilisha ahadi yake ya kumsaidia Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu kuweza ku [...]
Faida za kombe la dunia kupita Tanzania
Baada ya miaka nane kupita, Tanzania imepata tena bahati ya kuwa mwenyeji wa ziara ya kombe la dunia barani Afrika ikiwa miongoni mwa nchi tisa ambazo [...]
Utatoa faini mifuko 5 ya simenti ukivaa kimini au mlegezo
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, viongozi wa kata ya Tandala, wilayani Makate Mkoa wa Njombe wametunga sheria ndogo za kuwakamata wananwake w [...]
Bilioni 100 za Samia za shusha bei ya mafuta
Hatimaye ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye kulifanyia kazi suala la mfumuko wa bei ya mafuta imekamili [...]
Mwijaku ashinda kesi
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Mei 31 imemwachia huru Mwemba Burton maarufu Mwijaku ambaye alikuwa anakabiliwa na shtaka la kusambaza picha za n [...]
Pablo atemwa na Simba
Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo Pablo Franco Martin.
Katika kipindi chake koc [...]
Sabaya bado sana
Hukumu ya Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake imeahirishwa hadi Juni 10, 2022,hii [...]
Maelekezo ya Rais Samia kwa Wizara ya Nishati
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema Rais Samia Suluhu ameielekeza wizara hiyi kuhakikisha ujenzi wa mradi wa bomba la gesi kuto [...]