Category: Kitaifa

1 111 112 113 114 115 191 1130 / 1905 POSTS
Watu 18 wafa ajali ya basi mafinga

Watu 18 wafa ajali ya basi mafinga

Watu 18 wamefariki dunia papo hapo baada ya basi dogo aina Costa kugongana uso kwa uso na lori la mizigo karibu na eneo la Changarawe, Mafinga mkoani [...]
Samia atoa milioni 500 kwa ajili ya  maji

Samia atoa milioni 500 kwa ajili ya maji

Rais Samia Suluhu anazidi kuzinufaisha mamlaka za maji baada ya kuagiza zipatiwe Sh milioni 500 kama mkopo kwa ajili ya kusaidia uunganishaji maji kwa [...]
Amuua mume wake kwa kumkaba usingizini

Amuua mume wake kwa kumkaba usingizini

Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Maria Matheo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kumuua mume wake, Gabriel Nguwa (80 [...]
Kesi ya Makonda yaondolewa

Kesi ya Makonda yaondolewa

Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kinondoni imetupilia mbali na kuiondoa kesi iliyomkabili Paul Makonda juu ya matumizi mabaya ya Ofisi na kuingilia matanga [...]
Corona ipo

Corona ipo

Wizara ya Afya nchini Tanzania imewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Uviko-19 ikiwemo kupata chanjo kwa sababu ugon [...]
Samia kutoa bilioni 100 kila mwezi

Samia kutoa bilioni 100 kila mwezi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itatoa ruzuku ya Sh bilioni 100 kila mwezi kwa ajili ya kukabiliana [...]
Wahitimu kukopeshwa kwa vyeti vyao

Wahitimu kukopeshwa kwa vyeti vyao

Serikali imesema inaangalia uwezekano wa kutumia vyeti vya wahitimu wa vyuo vikuu nchini kama dhamana ya kuwapa mikopo mbalimbali ya kuwawezesha kujia [...]
Majaliwa awasha moto

Majaliwa awasha moto

Waziri Kuu Kassim Majaliwa ametoa siku tano kuanzia leo Juni 8, 2022 hadi Juni 12, 2022 Wizara ya Kilimo iwe imeondoa pikipiki zote wizarani hapo na k [...]
Bei mpya za mafuta

Bei mpya za mafuta

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imetangaza Bei mpya za Mafuta zitakazoanza kutumika rasmi kuanzia Alkhamis Tarehe 09/ [...]
Atoroka nyumbani kisa kufeli mitihani

Atoroka nyumbani kisa kufeli mitihani

Dorice Venance (16) mwanafunzi wa kidato cha tatu Shule ya Sekondari Migamboni, anadaiwa kutoroka nyumbani kwao Tabata Segerea tangu JUni 4, mwaka huu [...]
1 111 112 113 114 115 191 1130 / 1905 POSTS
error: Content is protected !!