Category: Kitaifa
Serikali yaongeza posho za safari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuupiga mwingi kwa kutoa kibali cha kurekebisha posho ya kujikimu ya safar [...]
AC na Wi-Fi ndani ya mwendokasi mpya
Serikali imesema kuwa ina mpango wa kuweka huduma ya intaneti (Wi-Fi) na viyoyozi katika mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) kwa lengo la kukuza ushin [...]
Mapendekezo ya Wanangorongoro
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea mapendekezo ya wananchi wa Tarafa za Loliondo, Ngorongoro na Sale kuhusu namna bora ya kulinda uhifadhi wa maeneo [...]
Mshindi wa ‘Nobel Prize’ arejea Zanzibar
Mshindi wa Tuzo ya Fasihi ya Nobel 2021 Prof. Abdulrazak Gurnah ameitikia wito wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein M [...]
Kikokotoo kipya Julai Mosi
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Prof. Jamal Katundu ametangaza rasmi kanuni mpya ya Mafao ya Pensheni kufuatia [...]
Vijana 100 wapewa mtaji wa nguruwe
Vijana 100 kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamepewa msaada wa nguruwe 100 na halmashauri hiyo ikishirikiana na mradi wa Youth Ag [...]
Ashikiliwa kwa kubaka watoto watatu
Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia kijana mmoja mkazi wa Nshambya, Bukoba kwa tuhuma ya kuwabaka watoto watatu wa darasa la tatu na nne, weny [...]
Mwendokasi 1,500
Wakati Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) ikitarajia kufanya mabadiliko ya nauli kwa mabasi yaendeyo haraka maarufu mwendokasi, Wakala wa [...]
Sababu ya Rais Samia kuelekeza tuzo kwa Magufuli
Licha ya kupata tuzo ya heshima kuhusu ujenzi wa barabara barani Africa, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameelekeza tuzo hiyo kwa mtangulizi wake [...]
Rais Samia afanya uteuzi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo:-
a) Amemteua Bi. Sauda Kassim Msemo k [...]