Category: Kitaifa
Mapacha wanaokula magodoro
Joyce Mrema mama wa mapacha wawili amejitokeza hadharani na kupaza sauti akiomba msaada wa madaktari bingwa,kujitosa kuwatibu wanawe wanaokula magodor [...]
Lipumba amtabiria makubwa Rais Samia 2025
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Haruna Lipumba amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan k [...]
Diwani CCM apotea
Diwani wa Kata ya Kawe mkoani Dar es Salaam, Mutta Rwakatare (CCM) anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha huku vyombo vya dola vikiombwa kus [...]
Kesi ya Mange yafutwa
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imekubali kuondoa kesi inayomkabili Mkurugenzi wa Mtandao wa U- turn unaoendesha App ya Mange Kimambi, Allen Mhina baa [...]
Mwalimu madrasa alawiti, mwanamke abaka mtoto
Serikalini mkoani Arusha ikijipanga kumfikisha mahakamani mwalimu wa madrasa, Jumanne Ikungi anayetuhumiwa kuwalawiti wanafunzi 22 wa Shule ya Msingi [...]
CHADEMA yawasilisha hoja 6 Mahakama Kuu
Baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam kuamua wabunge 19 wa CHADEMA waliovuliwa uanachama kuendelea kuwapo bungeni hadi maombi ya z [...]
Waziri: Aliyenajisi mtoto na kukimbia naye atafutwe
Baada ya kufika jijini Arusha kwenye ziara fupi ya uhamasishaji wa Siku ya Kimataifa ya Familia, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mak [...]
Alichozungumza Prof. Lipumba na Rais Samia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba mara baa [...]
LHRC: Spika yupo sawa kuhusu akina Mdee
Afisa Uchehemuzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Maduhu William amefanya uchambuzi kuhusu maamuzi yaliyotolewa leo na Spika wa Jamhuri [...]
Air Tanzania kuanza safari za Pemba
Kwa muda sasa, ndege za ATCL zimekuwa zikisafirisha abiria na mizigo kwenda Unguja, Zanzibar na siyo Pemba, jambo linaweza kuwa linaikosesha fursa ya [...]