Category: Kitaifa

1 113 114 115 116 117 184 1150 / 1834 POSTS
Masomo ya Samia kwa wanaharakati

Masomo ya Samia kwa wanaharakati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amehudhuria na kushiriki Maadhimisho ya Miaka 10 ya Muungano wa Watetezi wa Haki za [...]
Aruhusu wanaodaiwa ada kufanya mitihani

Aruhusu wanaodaiwa ada kufanya mitihani

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Tulia Ackson ameielekeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutoa tamko la wanafunzi wa vyuo [...]
Mnyika: Wanataka ubunge kwa msilahi pekee

Mnyika: Wanataka ubunge kwa msilahi pekee

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amefunguka na kusema kwamba baada ya Kamati Kuu kutoa uamuzi wao dhidi ya wana [...]
Ajinyonga kisa ujumbe wa ‘Tuma kwenye namba hii’

Ajinyonga kisa ujumbe wa ‘Tuma kwenye namba hii’

Amos Tofiri (29), mkazi wa kijiji cha Lukunguni,mkoani Morogoro amejinyonga kutokana na deni la Sh 400,000 alizokopa na akazituma kwa mtu aliyemtumia [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 13, 2022

Viwango vya kubadili fedha Mei 13, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5

Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha 5

Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Baraza la Mitihani la T [...]
Bongo Spider Man: Bora niache

Bongo Spider Man: Bora niache

Mchekeshaji Jackie maarufu kama Bongo Spider Man, amefunguka na kusema anaacha ubunifu wake wa kuchekesha kama spider man baada ya kuzuka kwa taarifa [...]
Tathmini ya ziara za Rais Samia Suluhu

Tathmini ya ziara za Rais Samia Suluhu

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus, ametoa na kueleza dondoo za tathmini ya ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. [...]
Rihanna kufungua duka Kenya

Rihanna kufungua duka Kenya

Mwanamuziki na mfanyabiashara, Robyn Rihanna Fenty maarufu kama 'Rihanna' ametangaza kufungua maduka ya vipodozi vyake vya Fenty Beauty katika nchi sa [...]
Spika aarifiwe uamuzi wa Baraza Kuu CHADEMA

Spika aarifiwe uamuzi wa Baraza Kuu CHADEMA

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje CHADEMA, John Mrema amesema hatua inayofuata kufuatia kuondolewa uanachama kwa wanachama wake 19 ni [...]
1 113 114 115 116 117 184 1150 / 1834 POSTS
error: Content is protected !!