Category: Kitaifa
Bajeti ya Zanzibar raha
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) jana imewasilisha mapendekezo ya bajeti kwa mwaka 2022/23 ya Sh2.5 trilioni huku ikitarajia kuanza kuwalipa mi [...]
Meya asema hakuna atakaye ondolewa milimani Mwanza
Baada ya taarifa iliyosambaa jana kuhusu kuhamishwa kwa wakazi wa milimani jijini Mwanza, Meya wa jiji hilo Constantine Sima amesema taarifa hizo sio [...]
Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji
Wakazi wa jiji la Mwanza waliojenga maeneo ya milimani wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazil.
Meya wa Jiji la Mwanza, [...]
10 mbaroni kifo cha askari Loliondo
Jeshi la Polisi limewakamata watu 10 kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizojitokeza wakati wa uwekaji wa mipaka kwenye eneo la pori tengefu la Lolion [...]
Sirro aridhishwa na hali ya Loliondo
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amefanya ziara katika eneo la Loliondo, Ngorongoro kwa ajili ya kujionea zoezi linaloendelea la uwek [...]
Aliyekuwa Meya autaka tena umeya
Meya wa zamani wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Juma Raibu aliyevuliwa wadhifa huo baada ya kupigiwa kura za siri na madiwani za kukataliwa am [...]
Mambo safi uwekaji alama za vibao
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepokea taarifa ya utekelezaji wa awamu ya pili ya zoezi la anuani za Makazi ikihusisha uwekaji wa al [...]
Wachochezi bei ya umeme na Loliondo wasakwa
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali imesema itawashitaki waliohamasisha wananchi wafanye vurugu Loliondo na wanaopotosha kuhusu h [...]
Magazeti ya leo Juni 13,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Juni 13,2022.
[...]
Askari auawa kwa mshale Ngorongoro
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amewataka wananchi Wa Tarafa ya Loliondo wilaya ya Ngorongoro Kuwa watulivu na kusikiliza maelekezo ya serika [...]

