Category: Kitaifa

1 117 118 119 120 121 199 1190 / 1981 POSTS
Bajeti ya Zanzibar raha

Bajeti ya Zanzibar raha

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) jana imewasilisha mapendekezo ya bajeti kwa mwaka 2022/23 ya Sh2.5 trilioni huku ikitarajia kuanza kuwalipa mi [...]
Meya asema hakuna atakaye ondolewa milimani Mwanza

Meya asema hakuna atakaye ondolewa milimani Mwanza

Baada ya taarifa iliyosambaa jana kuhusu kuhamishwa kwa wakazi wa milimani jijini Mwanza, Meya wa jiji hilo Constantine Sima amesema taarifa hizo sio [...]
Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji

Waishio milimani kuondolewa, kupisha uwekezaji

Wakazi wa jiji la Mwanza waliojenga maeneo ya milimani wanatarajiwa kuondolewa ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazil. Meya wa Jiji la Mwanza, [...]
10 mbaroni kifo cha askari Loliondo

10 mbaroni kifo cha askari Loliondo

Jeshi la Polisi limewakamata watu 10 kwa tuhuma za kuhusika na vurugu zilizojitokeza wakati wa uwekaji wa mipaka kwenye eneo la pori tengefu la Lolion [...]
Sirro aridhishwa na hali ya Loliondo

Sirro aridhishwa na hali ya Loliondo

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amefanya ziara katika eneo la Loliondo, Ngorongoro kwa ajili ya kujionea zoezi linaloendelea la uwek [...]
Aliyekuwa Meya autaka tena umeya

Aliyekuwa Meya autaka tena umeya

Meya wa zamani wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Juma Raibu aliyevuliwa wadhifa huo baada ya kupigiwa kura za siri na madiwani za kukataliwa am [...]
Mambo safi uwekaji alama za vibao

Mambo safi uwekaji alama za vibao

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepokea taarifa ya utekelezaji wa awamu ya pili ya zoezi la anuani za Makazi ikihusisha uwekaji wa al [...]
Wachochezi bei ya umeme na Loliondo wasakwa

Wachochezi bei ya umeme na Loliondo wasakwa

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali imesema itawashitaki waliohamasisha wananchi wafanye vurugu Loliondo na wanaopotosha kuhusu h [...]
Magazeti ya leo Juni 13,2022

Magazeti ya leo Juni 13,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Juni 13,2022. [...]
Askari auawa kwa mshale Ngorongoro

Askari auawa kwa mshale Ngorongoro

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amewataka wananchi Wa Tarafa ya Loliondo wilaya ya Ngorongoro Kuwa watulivu na kusikiliza maelekezo ya serika [...]
1 117 118 119 120 121 199 1190 / 1981 POSTS
error: Content is protected !!