Category: Kitaifa

1 141 142 143 144 145 169 1430 / 1683 POSTS
Spika Ndugai ampa onyo kali Jenerali Ulimwengu

Spika Ndugai ampa onyo kali Jenerali Ulimwengu

Mwanazuoni mbobevu nchini, Jenerali Ulimwengu amepewa onyo kali na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kwa kile kilichoelezw [...]
Aiba mtoto kumridhisha mumewe.

Aiba mtoto kumridhisha mumewe.

Maria Zayumba anadaiwa kumwiba mtoto wa kike mwenye umri wa miaka sita anaesoma darasa la kwanza Mkoani Morogoro,  kisha kumsafirisha na kwenda nae Ir [...]
Spika Ndugai akemea sharti la kuajiri tu waliopita JKT

Spika Ndugai akemea sharti la kuajiri tu waliopita JKT

Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema sharti la kuajiri tu vijana waliopita Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) ni la kibaguzi ambalo halipaswi kuvumiliwa kwa k [...]
Mitego 380 yateguliwa hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Mitego 380 yateguliwa hifadhi ya Taifa ya Nyerere

Wizara ya Maliasili na Utalii imefanikiwa kutegua nyaya za umeme 380 zilizokuwa zimetegwa katika hifadhi ya Taifa ya Nyerere iliyopo mkoani Morogoro i [...]
Adaiwa kujaribu kuwaua watoto wake kisha kujinyonga

Adaiwa kujaribu kuwaua watoto wake kisha kujinyonga

Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 40 kutokea kaunti ya Kericho nchini Kenya alijaribu kuwaaua watoto wake wawili na kisha kujinyonga, Mwanamke huyo [...]
Wagonjwa wa Presha hatarini kupata matatizo mfumo wa fahamu

Wagonjwa wa Presha hatarini kupata matatizo mfumo wa fahamu

Watafiti kutokea nchini Tanzania wamebaini wagonjwa wanaougua shinikizo la damu (blood pressure) la muda mrefu wapo hatarini kupata mabadiliko ya mfum [...]
Majina ya Watumishi waliopata vibali vya uhamisho kwa kubadilishana vituo vya kazi

Majina ya Watumishi waliopata vibali vya uhamisho kwa kubadilishana vituo vya kazi

Majina ya Watumishi waliopata vibali vya uhamisho kwa kubadilishana vituo vya kazi Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Prof. Riziki Shemdoe ameridhia k [...]
Wamachinga wakaidi kukiona

Wamachinga wakaidi kukiona

Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri amesema wafanyabiashara wadogo maarufu kwa jina la Wamachinga wanaokaidi agizo la kutofanya biasha [...]
Huduma kwa wateja TANESCO kutolewa kidigitali

Huduma kwa wateja TANESCO kutolewa kidigitali

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limegeukia fursa kuboresha ufanisi kwa kutumia digitali, baada ya kusaini mkataba na Kampuni ya Tech Mahindra kwa [...]
Mabasi 41 yafungiwa kusafirisha abiria mikoani

Mabasi 41 yafungiwa kusafirisha abiria mikoani

Jana Novemba 8, magari 41 yalizuiliwa kusafirisha abiria kutokana na hitilafu zilizobainika katika magari hayo kufuatia ukaguzi uliofanyika kwa takrib [...]
1 141 142 143 144 145 169 1430 / 1683 POSTS
error: Content is protected !!