Category: Kitaifa
Urusi na Tanzania mambo safi
Urusi yaridhia kusaidia kuondoa wanafunzi wa Kitanzania waliokuwa wamekwama katika mji wa Sumy Nchini Ukraine kuondoka nchini humo kupitia mpaka wa Uk [...]
Aharibikiwa kisaikolojia baada ya kutoka Ukraine
Hairat Muhina ni kati wa wanafunzi aliyefanikiwa kurudi Tanzania akitokea Ukraine alipokuwa akisoma mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Taifa cha Tiba [...]
CAG ageukia fedha za UVIKO-19
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema ofisi yake imeanza kufanya ukaguzi maalumu wa matumizi ya fedha za UVI [...]
CHADEMA wamkubali Spika Tulia
Sophia Mwakagenda ambaye ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema kwamba wabunge wanaotokan [...]

Viongozi wa dini wateta haya na Rais Samia kuhusu kesi ya Mbowe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amezungumza na viongozi wa dini mbalimbali kuhusu maendeleo ya nchi katika kik [...]
Serikali yakutana na kamati ya wazazi wa watoto wanaosoma UKraine
Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe.Liberata Mulamula amekutana na kufanya mazungumzo na kamati ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma nchini Ukraine ambapo amewati [...]
Tanzania kutangazwa bure Burj Khalifa mwezi mzima
Baada ya kuwa na sitofahamu kuhusu bendera ya Tanzania pamoja na picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kuonekana [...]
UJENZI WA VETA WAGUSA MAISHA YA VIBARUA MKINGA
Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga ni kati ya maeneo yaliyonufaika na ujenzi wa vyuo vya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) unaoendelea kufanywa na Se [...]
Rais Samia afungua milango ya uwekezaji
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaalika wawekezaji wa Dubai kuja kuwekeza nchi huku akiwahakikishia mazingira mazu [...]
Mapendekezo ya ACT-Wazalendo juu ya watanzania waishio Ukraine
Chama cha ACT Wazalendo kimeimba serikali ya Tanzania wakishirikiana na Wizara ya Mambo ya nje kutuma ndege itakayoweza kuwafuata watanzania waliopo n [...]