Category: Kitaifa

1 153 154 155 156 157 183 1550 / 1828 POSTS
Ngoma bado ngumu kesi ya Sabaya

Ngoma bado ngumu kesi ya Sabaya

Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita (Enock Mnkeni, Watson Mwahomange, John Aweyo, Sylvester N [...]
Rais Samia akiri kwamba Harmo ni Tembo

Rais Samia akiri kwamba Harmo ni Tembo

Rais Samia Suluhu Hassan amemwagia sifa msanii Harmonize maarufu kama Konde boy au Tembo wakati akishiriki Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Ba [...]
Vigogo Dar wawekwa kitimoto

Vigogo Dar wawekwa kitimoto

Mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri amethibitisha kuwamba wapo watendaji waliosimamishwa kazi ili kupisha kwa uchunguzi wa ufisadi wa [...]
Ujumbe wa RC Makalla kwa Mwijaku na Baba Levo

Ujumbe wa RC Makalla kwa Mwijaku na Baba Levo

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Amos Makalla amewataka akina Baba Levo na Mwijaku kuanza kuhamasisha watu kwenye kufanya usafi na kutunza maz [...]
Lukuvi kutafuta suluhu na madalali

Lukuvi kutafuta suluhu na madalali

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, William Lukuvi anatarajia kukutana na madalali wa nyumba na viwanja jijini Dar es Salaam Desemba 13 mwaka huu baada [...]
Umeme kitendawili, Makamba ashuhudia uhafifu wa maji Ruaha

Umeme kitendawili, Makamba ashuhudia uhafifu wa maji Ruaha

Waziri wa Nishati Mhe January Makamba ameanza ziara katika mito inayoingiza maji katika mabwawa ya vituo vyote vya kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu y [...]
Kigoma: Shaka afichua wahusika upotevu wa bilioni 2

Kigoma: Shaka afichua wahusika upotevu wa bilioni 2

Katibu wa itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamidu Shaka, amewataja wanaohusika na upotevu wa zaidi ya Sh. Bilioni 2 kila mwezi ka [...]
TAKUKURU yashikwa pabaya wizi wa madini Mererani

TAKUKURU yashikwa pabaya wizi wa madini Mererani

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma), Mohammed Mchengerwa, ametoa wiki mbili kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa T [...]
Fahamu kurasa zenye wafuasi wengi zaidi Twitter Tanzania

Fahamu kurasa zenye wafuasi wengi zaidi Twitter Tanzania

Januari 2021 kulikuwa na Watanzania 5.40 milioni wanaotumia mitandao ya kijamii. Watumiaji wa mitandao Tanzania wameongezeka+20% 2020 - 2021, sawa na [...]
Batu tale akemea ‘machawa’

Batu tale akemea ‘machawa’

Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Hamisi Shaban Taletale maarufu Babu Tale ambaye pia ni meneja wa msanii Diamond Platnumz kutoka lebo ya Wasafi ame [...]
1 153 154 155 156 157 183 1550 / 1828 POSTS
error: Content is protected !!