Category: Kitaifa
Serikali kujenga chuo kikubwa cha TEHAMA nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza katika kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerer [...]

Sababu za serikali kutositisha Mbio za Mwenge
Rais Samia Suluhu Hassan leo ameongoza Watanzania katika kuzima Mwenge wa Uhuru pamoja na maadhimisho ya Kumbukizi ya Miaka 22 ya Kifo cha Mwalimu Jul [...]
Ahadi 6 za Rais Samia kwa wakazi wa Chato
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amesema Serikali inakamilisha vigezo vitakavyoruhusu Wilaya ya Chato, iliyopo mkaoni Geita, kuwa mkoa.
Rais Samia am [...]
Jela miaka mitano kwa kuuza albamu ya Alikiba mtaani
Ofisa Mtendaji Mkuu na msimamizi wa hatimiliki kutoka Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA), Doreen Anthony Sinare amekemea vikali watu wanaouza mt [...]
Leo katika Historia: Mwl. Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania anafariki
Hii ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere, Rais na mwasisi wa Tanzania.
Nyerere alizaliwa Aprili 13 [...]
Mahakama yampa ushindi wa kwanza Jacqueline Mengi
Mahakama ya Rufani nchini imetupilia mbali pingamizi dhidi ya maombi ya Mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, Marehemu Reginald Mengi, Jac [...]
Maelekezo ya Waziri Mkuu kwa vijana wanaotumia mitandao ya kijamii
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi vijana nchini kutotumia mitandao ya kijamii kwa mambo ya kiuhalifu badala yake watumie mitandao hiyo katika kuku [...]
Serikali kuajiri wahandisi 260
Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa ameeleza serikali imetoa kibali cha kuajiri wahandi [...]
Ujumbe uliotumwa na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa kwenda kwa Rais Samia
Wafungwa waliopo gereza la Uyui mkoani Tabora wametuma salamu kwa Rais Samia Suluhu Hassan kupitia risala iliyosomwa na mfungwa kiongozi, Masali Mis [...]
Bodaboda walalamika kuchapwa bakora na polisi
Madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda wamemlalamikia Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere kuwa polisi wamekuwa wakiwachapa bakora bila kuj [...]