Category: Kitaifa

1 182 183 184 185 186 213 1840 / 2124 POSTS
Rais Samia aeleza ukuaji sekta ya fedha

Rais Samia aeleza ukuaji sekta ya fedha

Katika mkutano wa 20 wa taasisi za fedha ulioandaliwa na Benki kuu ya Tanzania (BOT), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu ambaye [...]
Dawa ya usafirishaji binadamu yapatikana

Dawa ya usafirishaji binadamu yapatikana

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu sera, Bunge, Ajira , kazi, vijana na watu wenye ulemavu Jenista Mhagama amesema katika kukabiliana na biashara har [...]
Hali ya maji tumuachie Mungu

Hali ya maji tumuachie Mungu

Mkuu wa mkoa Dar es Salaam , Amos Makalla amekiri kwamba hali bado si shwari na kilichopo ni kuomba kudra za Mwenyezi Mungu baada ya kutembelea mto Ru [...]
Wasichana waliopata ujauzito kuruhusiwa kurudi shuleni

Wasichana waliopata ujauzito kuruhusiwa kurudi shuleni

Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako amesema kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, Serikali imeamua kuondoa vikwazo vilivyopo katika elimu husu [...]
Serikali yatamba kushamiri kwa Demokrasia nchini ndani ya miaka 60 ya Uhuru

Serikali yatamba kushamiri kwa Demokrasia nchini ndani ya miaka 60 ya Uhuru

Katika kipindi cha miaka 60 ya Uhuru, kumekuwa na maendeleo ya demokrasia ya vyama vingi nchini sambamba na udumishwaji wa amani, utulivu, uzalendo na [...]
Rais Samia atoa maagizo jinsi yakupunguza ajali za barabarani

Rais Samia atoa maagizo jinsi yakupunguza ajali za barabarani

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua wiki ya nenda kwa usalama barabarani huku akiagiza elimu ya matumizi sahihi ya barabara ielekezwe zaidi kwa maderev [...]
Ngoma bado ngumu kesi ya Sabaya

Ngoma bado ngumu kesi ya Sabaya

Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita (Enock Mnkeni, Watson Mwahomange, John Aweyo, Sylvester N [...]
Rais Samia akiri kwamba Harmo ni Tembo

Rais Samia akiri kwamba Harmo ni Tembo

Rais Samia Suluhu Hassan amemwagia sifa msanii Harmonize maarufu kama Konde boy au Tembo wakati akishiriki Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Ba [...]
Vigogo Dar wawekwa kitimoto

Vigogo Dar wawekwa kitimoto

Mkurugenzi wa jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri amethibitisha kuwamba wapo watendaji waliosimamishwa kazi ili kupisha kwa uchunguzi wa ufisadi wa [...]
Ujumbe wa RC Makalla kwa Mwijaku na Baba Levo

Ujumbe wa RC Makalla kwa Mwijaku na Baba Levo

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Amos Makalla amewataka akina Baba Levo na Mwijaku kuanza kuhamasisha watu kwenye kufanya usafi na kutunza maz [...]
1 182 183 184 185 186 213 1840 / 2124 POSTS
error: Content is protected !!