Category: Kitaifa
Rais Samia na Waziri Majaliwa wanunua tiketi 4000 mechi ya Taifa Stars
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wametoa tiketi 4,000, kwa ajili ya mashabiki kuingia [...]
Aweso amuwakilisha Rais Samia Mkutano wa UN
Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso anamwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umo [...]
Rais Samia ahimiza vijana kujiunga na kilimo
Huenda sekta ya kilimo Tanzania ikachukua sura mpya kwa kuongeza wigo wa ajira pamoja na mchango katika pato la Taifa mara baada ya Serikali kufanya u [...]
Wafukua kaburi na kuiba sehemu za siri za marehemu
Watu wasiojulikana wamefukua kaburi alipokuwa amezikwa marehemu Ruben Kasala (74) na kuondoa sehemu za siri.
Mtoto wa marehemu, Frank Kasala amesem [...]
Tanzania yapeleka helikopta mbili za msaada Malawi
Serikali ya Tanzania imetuma helikopta mbili nchini Malawi zenye msaada wa vifaa, chakula pamoja na fedha Dola milioni moja (Sh. bil. 2.3) taslimu kwa [...]

Serikali kuendelea na maboresho ya sekta ya afya
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kununa vifaa vya matibabu ili huduma nyingi za kitabibu au matabibu bingwa zitolewe [...]
Afariki kwa kuangukiwa na jiwe akifanya adhabu baada ya kushindwa kuongea kiingereza
Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa Shule ya Sekondari Mwinuko kwa kosa la kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa kidato c [...]

Tanzania kuwa ghala la chakula barani Afrika
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutumia vyema fursa ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) [...]
Miwili bila JPM, Kazi inaendelea
Leo ni kumbukizi ya miaka miwili tangu afariki dunia Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk. John Pombe Magufuli.
Dk. Magufuli aliaga dunia Machi 17 [...]
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa Afrika wa chakula na kilimo
Huenda Afrika likaanza kujitosheleza kwa chakula siku zijazo baada ya wadau wa maendeleo na wataalam wa sekta ya kilimo kukutana Tanzania ili kujadili [...]