Category: Kitaifa
Zaidi ya shilingi bilioni 280 kutumika kuimarisha upatikanaji wa umeme Dar
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kuboresha miundombinu ya umeme nchini kwa len [...]
Manunuzi na bidhaa migodini yafikia trilioni 5
Serikali imetangaza kuongezeka kwa manunuzi ya huduma na bidhaa kwa kampuni za kitanzania kwenye migodi inayomilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 n [...]

Tanzania yavutia uwekezaji wa shilingi trilioni 26.95 kwa mwaka 2025
Tanzania imeendelea kujijenga kama kitovu cha uwekezaji barani Afrika, jambo linalodhihirishwa na kuvutia uwekezaji wa nje wenye thamani ya TZS trilio [...]
CNN Travel Yaitaja Arusha na Hifadhi ya Taifa ya Arusha Kati ya Maeneo Bora ya Kutembelea Duniani Mwaka 2026
Hifadhi ya Taifa ya Arusha, iliyopo jijini Arusha, Tanzania, imetajwa na CNN Travel katika makala yao ya hivi karibuni iliyochapishwa tarehe 31 Desemb [...]
Safari SGR zarejea rasmi
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa ratiba ya safari za treni ya kisasa ya SGR baada ya serikali kutan gaza kurejesha safari kutoka Dar es Salaam - [...]
Viwanda kutoa ajira milioni 6 kwa vijana
Serikali imetangaza kufungua fursa za ajira kwa vijana kupitia uwekezaji katika Sekta ya Viwanda na biashara, ikilenga kuanzisha na kuendeleza viw [...]
Bima ya Afya kwa Wote Mambo Safi
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuzinduliwa Januari mwakani.
Aidha, Dk. Mwigulu, amezitaka hospitali z [...]
Taarifa Rasmi kuhusu Tanzania Kuwekwa katika Kundi la Vikwazo vya Kuingia nchini Marekani
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuufahamisha umma kuwa Ser [...]
Rais Samia: Uimara wa taifa letu ni pamoja na mchango mkubwa wa Jenista
Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji wengine, katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Per [...]
Tathmini ya tamko la Kamati Kuu ya Baraza Kuu la Chadema Taifa kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025
√ Ukweli, Upotoshaji na Uhalisia wa Mambo
Na GULATONE MASIGA
Katika siku za karibuni, Kamati Kuu ya Baraza Kuu la CHADEMA ilitoa tamko kuhusu uc [...]

