Category: Kitaifa

1 42 43 44 45 46 183 440 / 1830 POSTS
Lita 910 zingine za dizeli SGR zakamatwa

Lita 910 zingine za dizeli SGR zakamatwa

Kamanda  wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi amesema wamefanikiwa kukamata lita 910 za mafuta aina ya dizeli yanayotumika katika mradi wa Reli [...]
Serikali kugharamia msiba wa watu 17 Tanga

Serikali kugharamia msiba wa watu 17 Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo kuwa Serikali isimamie msiba wa Watu 17 waliofariki kwa ajali Tanga [...]
Rais Samia aomboleza ajali iliyoua watu 17 mkoani Tanga

Rais Samia aomboleza ajali iliyoua watu 17 mkoani Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameeleza kusikitishwa na ajali iliyoua watu 17 mkoani Tanga. Nimesikit [...]
Vijana 147 waliojiunga JKT wabainika kuwa na VVU

Vijana 147 waliojiunga JKT wabainika kuwa na VVU

Kamati ya Bunge ya Masuala ya UKIMWI imesema katika kipindi cha miaka mitatu kilichoanzia 2018, vijana wanaojiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taif [...]
Gridi nzima ya umeme ya taifa kufumuliwa

Gridi nzima ya umeme ya taifa kufumuliwa

Waziri wa Nishati, January Makamba amesema serikali inatajaria kuanza mradi mkubwa wa kufumua gridi nzima ya umeme ya taifa na kuirekebisha. Lengo [...]
Lissu: Serikali ibane matumizi

Lissu: Serikali ibane matumizi

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo , (Chadema) amesema sababu ya kupanda kwa gharama za maisha nchi ni kodi ambazo serikali imeziw [...]
Maagizo ya Rais Samia kuhusu marekebisho ya sheria

Maagizo ya Rais Samia kuhusu marekebisho ya sheria

 Rais Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Katiba na Sheria, Wizara ya Fedha na Mipango, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na kushirikiana kufanya mareke [...]
Miswada mitatu yaridhiwa na Rais Samia

Miswada mitatu yaridhiwa na Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia miswada mitatu kuwa sheria kamili na tayari zimeanza kutumika. Taarifa hiyo imetolewa leo Bungeni jijini Dodoma [...]
Rais Samia aweka historia

Rais Samia aweka historia

Kwa mara ya kwanza katika historia, benki za Tanzania zilipata faida ya jumla ya Sh. trilioni 1.16 mwaka 2022, huku zikisema faida hiyo inatokana na s [...]
Bashe atoa angalizo kilimo cha mtandaoni

Bashe atoa angalizo kilimo cha mtandaoni

Watanzania wameshauriwa kutojihusisha na shughuli za kilimo ambazo zinatangazwa na makampuni mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii, kwani kihalisia h [...]
1 42 43 44 45 46 183 440 / 1830 POSTS
error: Content is protected !!