Category: Kitaifa

1 45 46 47 48 49 183 470 / 1830 POSTS
Miradi 630 ya kampuni za India yasajiliwa kuwekeza Tanzania

Miradi 630 ya kampuni za India yasajiliwa kuwekeza Tanzania

Miradi mipya 630 ya uwekezaji inayotekelezwa na kampuni za India yenye thamani za dola 3.68 bilioni imesajiliwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 kupiti [...]
Mfumuko wa bei za vyakula kushuka Machi 2023

Mfumuko wa bei za vyakula kushuka Machi 2023

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk Albina Chuwa amesema kasi ya mfumuko wa bei za vyakula na vinywaji baridi inatarajia kupungua hadi asilimia 8.4 Machi mw [...]
Mnada wa chai kuanza, serikali yaondoa tozo

Mnada wa chai kuanza, serikali yaondoa tozo

Mnada wa zao la chai nchini unaotarajiwa kuanza kufanywa jijini Dar es Salaam mwaka huu, huku serikali ikitangaza neema kwa wakulima kwamba hautakuwa [...]
Wahadzabe, Wadatoga wapinga tozo

Wahadzabe, Wadatoga wapinga tozo

Jamii ya Wahadzabe na Wadatoga wanaoishi wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha, wametishia kuyahama makazi yao kwa kuwa halmashauri ya wilaya hiyo ime [...]
Bashe aagiza kukamatwa waliotupa parachichi

Bashe aagiza kukamatwa waliotupa parachichi

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmiliki wa Kampuni ya Candia Fresh pamoja na kuifunga kampuni hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa i [...]
Kirusi kipya cha Uviko-19

Kirusi kipya cha Uviko-19

 Ingawa si jambo linalozungumzwa sana kwa sasa, lakini wasiwasi unaendelea kuongezeka kwa wanayansi ambao wanajaribu kutafuta ufumbuzi wa kukabiliana [...]
Mita 111 za maji zajazwa Bwawa la Nyerere

Mita 111 za maji zajazwa Bwawa la Nyerere

Serikali imesema hadi jana asubuhi, mita za maji 111 juu ya usawa wa bahari zilikuwa zimejazwa katika mradi wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme kwa m [...]
Fahamu kuhusu asali

Fahamu kuhusu asali

Wengi wetu tumezoea asali kwa matumizi ya kula lakini kama ulikua hujui pia ni tiba ya ngozi pamoja na kuzui chunusi. Kutokana na uwezo wa asali ku [...]
Dar Group Hospital chini ya usimamizi wa Serikali

Dar Group Hospital chini ya usimamizi wa Serikali

Serikali imechukua usimamizi wa Hospitali ya Dar Group na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametangaza kuwa Hospitali hiyo sasa itasimamiwa na Taasisi ya Mo [...]
Sekretarieti mpya ya CCM

Sekretarieti mpya ya CCM

Katibu Mkuu- Daniel Chongolo Naibu Katibu Mkuu - Bara, AnaMringi Macha Naibu Katibu Mkuu- Zanzibar- Mohamed Said Dimwa Katibu Itikadi na Uene [...]
1 45 46 47 48 49 183 470 / 1830 POSTS
error: Content is protected !!