Category: Kitaifa
Rais Samia anavyomuenzi Mwalimu Nyerere
Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika kumuenzi baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Serikali itaendeleza mapambano dhidi ya ujinga, maradhi [...]
Wanyama kufungwa redio
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Pindi Chana, leo Oktoba 13, 2022, amezindua ufungaji wa redio za mawasiliano kwa wanyamapori katika Hifadhi ya Taifa [...]
Jeshi la Polisi kinara vitendo vya Rushwa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imezitaja sekta zinazoongoza kwa vitendo vya rushwa nchini huku Jeshi la Polisi likishika nafasi y [...]
Waziri Makamba asisitiza matumizi ya nishati safi kwa maendeleo
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba amesema tarehe 1 na 2 mwezi Novemba mwaka huu kutakuwa na Kongamano la Kuongeza Matumizi ya Nishati Safi na Sa [...]
Benki ya Dunia yaitengea Tanzania trilioni 5
Benki ya Dunia imeshukuriwa kwa kuitengea Tanzania dola za Marekani bilioni 2.1 sawa na shilingi trilioni 4.9 katika mzunguko wa 20 wa IDA (Julai 2022 [...]
Ziara ya Rais Samia Kigoma
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma, kuanzia tarehe 16 hadi 19 mwezi huu.
Akitoa taarifa kwa vyo [...]
Padri amnajisi mtoto wakati akiungama
Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imeelezwa namna Paroko wa Parokia Teule ya Mtakatifu Dionis Aropagita ya Jimbo Katoliki la Moshi, Padri Sosthenes Baha [...]
Sonona inavyoathiri wanawake kiakili
Watu milioni nchini wanaishi na ugonjwa wa sonona huku wengi wao wakiwa wanawake.
Kauli hiyo imetolewa jana Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Ummy M [...]
Rais Samia afanya uteuzi wa Wakili Mkuu wa Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakili wa Serikali na Naibu Wakili Mkuu wa Serikali kama ifuatavy [...]
Fahamu chanzo cha kufeli kwa wanafunzi wa Shule ya Sheria
Anguko kwenye mtihani wa uwakili katika Shule Kuu ya Sheria Tanzania (LST) limefikia hatua mbaya na kuwaibua wanasheria na wadau wakitaka utafiti ufan [...]