Category: Kitaifa
Bashungwa ateuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri.
Amemteua Mhe. Innocent Lugha Ba [...]
Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume
Mgombea wa nafasi ya mjumbe wa halmashauri ya CCM wilaya ya Dodoma amewavunja mbavu wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya baada ya kuwaomba wamchague kwa [...]
Mahakama: Uamuzi wa kuwaondoa Wamasai ulikua kisheria
Mahakama ya Afrika Mashariki imesema uamuzi iliyochukuliwa na serikali ya Tanzania wa kuzingira ardhi kwa ajili ya ulinzi wa wanyamapori na kuwaondoa [...]
Mapato ya utalii yazidi kupaa
Mapato yanayotokana na utalii yameongezeka kutoka Dola za Kimarekani milioni 714.59 kwa mwaka 2020 hadi kufikia Dola za Kimarekani milioni 1,310.34 (z [...]
Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic, Mhe. Grace Olotu na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe [...]
Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Dkt. [...]
Mikataba ya Serikali kusainiwa Ofisi ya AG
Rais Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku Taasisi za serikali kuingia mikataba bila kushirikisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Rais Samia [...]
Kapu la Mama latema bil.160 ujenzi wa madarasa 8,000
Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 8,000 vitakavyoweza kupokea wanafun [...]
Bilioni 700 kuwafikishia umeme walio nje ya gridi ya Taifa
Huenda idadi ya Watanzania wanaotumia umeme ya gridi ya Taifa ikaongezeka siku za hivi karibuni baada ya Benki ya Dunia kutoa ufadhili kwa ajili kupel [...]
Historia yaandikwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mtwara
Huduma za kibingwa za Taasisi ya tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) zimeanza kutolewa katika hospitali mpya na ya kisasa ya rufaa ya kanda kusini Mtwara a [...]