Category: Kitaifa

1 77 78 79 80 81 196 790 / 1958 POSTS
Juhudi za Rais Samia zimepandisha uwezo wa Tanzania kukopesheka

Juhudi za Rais Samia zimepandisha uwezo wa Tanzania kukopesheka

Kutokana na hatua zilizochukuliwa na Rais Samia Suluhu, viwango vya Tanzania vimepanda kwenye tathmini ya kukopesheka na kuvutia uwekezaji kutoka nje [...]
Shaka aeleza siku 558 za Rais Samia Suluhu

Shaka aeleza siku 558 za Rais Samia Suluhu

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amesema ndani ya siku 558 tangu Rais Samia Suluhu Hassan aapishwe [...]
Faida za bima ya afya kwa wote

Faida za bima ya afya kwa wote

Serikali imewaomba wananchi kuunga mkono suala la bima ya afya kwa wote na kupuuza vitisho juu ya suala hilo kwa kuwa ni mkombozi kwa Watanzania. K [...]
Watumiaji wa usafiri wa anga waongezeka

Watumiaji wa usafiri wa anga waongezeka

Idadi ya abiria wanaotumia usafiri wa anga nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia 38 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, baada ya kuimarishwa kwa mapa [...]
340,000 kiwango cha kujiunga Bima ya Afya

340,000 kiwango cha kujiunga Bima ya Afya

Kiwango cha kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ni Shilingi 340,000 kwa kaya ya watu Sita akiwemo mchangiaji, mwenza wake na wategemezi wasiozidi wanne [...]

Kituo cha magonjwa ya mlipuko kujengwa Kagera

Serikali inatarajia kujenga kituo maalumu cha matibabu ya magonjwa ya milipuko Mkoani Kagera. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwal [...]
Ziara ya Rais Samia Qatar inavyoleta matunda mema nchini

Ziara ya Rais Samia Qatar inavyoleta matunda mema nchini

Inafahamika kwamba huwezi kufanikiwa na kusonga mbele ukiwa peke yako, lazima ushirikiane na watu ili uweze kupata ujuzi zaidi na maarifa yatakayokusa [...]
Mapato ya uwindaji kitalii yapaa mara mbili zaidi

Mapato ya uwindaji kitalii yapaa mara mbili zaidi

Mapato yatokanayo na shughuli za uwindaji wa kitalii nchini Tanzania yameongezeka zaidi ya mara mbili ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, huku yakitazam [...]
Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani

Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani

Benki ya Dunia imetoa mkopo wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh bilioni 466.387) kugharamia mradi wa Bonde la Msimbazi ili kuepuka mafuriko na kuliwez [...]
Majaliwa awaita wawekezaji kuja nchini

Majaliwa awaita wawekezaji kuja nchini

Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amewataka wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwenye sekta ya utalii, kwa sababu ya amani na utulivu na kwamba Watanzania ni [...]
1 77 78 79 80 81 196 790 / 1958 POSTS
error: Content is protected !!