Category: Kitaifa
Juhudi za Rais Samia zimepandisha uwezo wa Tanzania kukopesheka
Kutokana na hatua zilizochukuliwa na Rais Samia Suluhu, viwango vya Tanzania vimepanda kwenye tathmini ya kukopesheka na kuvutia uwekezaji kutoka nje [...]
Shaka aeleza siku 558 za Rais Samia Suluhu
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amesema ndani ya siku 558 tangu Rais Samia Suluhu Hassan aapishwe [...]
Faida za bima ya afya kwa wote
Serikali imewaomba wananchi kuunga mkono suala la bima ya afya kwa wote na kupuuza vitisho juu ya suala hilo kwa kuwa ni mkombozi kwa Watanzania.
K [...]
Watumiaji wa usafiri wa anga waongezeka
Idadi ya abiria wanaotumia usafiri wa anga nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia 38 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, baada ya kuimarishwa kwa mapa [...]
340,000 kiwango cha kujiunga Bima ya Afya
Kiwango cha kujiunga na Bima ya Afya kwa wote ni Shilingi 340,000 kwa kaya ya watu Sita akiwemo mchangiaji, mwenza wake na wategemezi wasiozidi wanne [...]
Kituo cha magonjwa ya mlipuko kujengwa Kagera
Serikali inatarajia kujenga kituo maalumu cha matibabu ya magonjwa ya milipuko Mkoani Kagera.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwal [...]
Ziara ya Rais Samia Qatar inavyoleta matunda mema nchini
Inafahamika kwamba huwezi kufanikiwa na kusonga mbele ukiwa peke yako, lazima ushirikiane na watu ili uweze kupata ujuzi zaidi na maarifa yatakayokusa [...]
Mapato ya uwindaji kitalii yapaa mara mbili zaidi
Mapato yatokanayo na shughuli za uwindaji wa kitalii nchini Tanzania yameongezeka zaidi ya mara mbili ndani ya kipindi cha mwaka mmoja, huku yakitazam [...]
Mabilioni ya Benki ya Dunia kuifanya Jangwani kuwa ya kijani
Benki ya Dunia imetoa mkopo wa Dola za Marekani milioni 200 (Sh bilioni 466.387) kugharamia mradi wa Bonde la Msimbazi ili kuepuka mafuriko na kuliwez [...]
Majaliwa awaita wawekezaji kuja nchini
Waziri Mkuu, Kassimu Majaliwa amewataka wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwenye sekta ya utalii, kwa sababu ya amani na utulivu na kwamba Watanzania ni [...]