Category: Kitaifa
Masharti 7 ya Samia Scholarship
Serikali imetangaza masharti saba kwa wanafunzi watakaoomba kunufaika na ufadhili (Samia Scholarship), ikiwemo kuhakikisha kuwa kiwango cha ufaulu hak [...]
Bashungwa asimamisha kazi watano Manyara
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Innocent Bashungwa amewasimamisha kazi Maafisa watano Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara ili kupisha [...]
Utaratibu wa kuomba Samia Scholarship
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa maelekezo ya namna kuomba ufadhili wa Samia Scholarship kwa wale waliokidhi vigezo.
[...]
Orodha ya waliokidhi ufadhili wa Samia Scholarship
Hii hapa orodha ya majina ya wanafunzi waliokidhi kupata ufadhili wa Samia Scholarship.
[...]
Waziri Ummy: Bima ya Afya ni hiari siyo lazima
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote ikipita itahakikisha wananchi wanapata huduma bila kikwazo lakini hakuna mtu ataka [...]
Kicheko kwa wakulima , soko la tumbaku lafunguka
Huenda wakulima watakuwa na uhakika wa soko la tumbaku baada ya wanunuzi kuongeza kiasi watakachonunua mwaka ujao wa kilimo.
Kampuni ya Japan Tobacco [...]
Aliyesambaza taarifa za uongo kifo cha Mwakyembe adakwa
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, linawashikilia watuhumiwa wawili kwa makosa ya kimtandao kufuatia msako unaoendelea.
Taarifa iliyoto [...]
Pweza kufuatiliwa kieletroniki Kilwa
Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa inaanzisha mfumo maalumu wa kufuatilia biashara ya pweza kielektroniki kuanzia wanapovuliwa, kusafirishwa hadi wanapouz [...]
Sh3 bilioni kutumika Samia Scholarship
Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha [...]
Catherine Ruge wa Chadema akamatwa
Catherine Ruge ambaye ni Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema Taifa, amekamatwa na polisi Mkoa wa Mara muda mfupi kabla ya kuongea na waandishi wa hab [...]