Category: Kitaifa
Daraja la Wami kuanza kutumika Septemba 30
Daraja jipya la Wami lenye urefu wa mita 513.5 na barabara unganishi ya kilometa 3.8 litaanza kutumika Septemba 30, 2022.
Akizungumza katika ziara [...]
Rais Samia amteua Prof. Janabi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Prof. Mohamed Yakubi Janabi kuwa Mkuruge [...]
Rais Samia afanya uteuzi TIB
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. Sosthenes Laurent Kewe kuwa Mwenyeki [...]
Rais Samia apongezwa na TUCTA kufanyia kazi vikokotoo
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu cha asilimia 33 kimelenga kumkomboa mtumishi wa u [...]
Baada ya miaka 22 serikali yawalipa fidia
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mtwara (MTUWASA), imewakabidhi fedha ya fidia wananchi wapatao 50, waliokuwa wanaidai mamlaka hiyo kutokana [...]
Rais Samia alivyookoa fedha za sensa
Kamisaa Mkuu wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda amesema msimamo wa Rais Samia Suluhu umeokoa fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika kughar [...]
Fahamu kuhusu mlipuko wa surua nchini
Serikali ya Tanzania imetangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa surua katika halmashauri saba huku watu 54 wakiwa wemethibitika kukumbwa na maradhi h [...]
Makalla: Ukimkosa mwanao nenda polisi au hospitali
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amesema Mzazi mwenye mtoto Panya Road kuanzia jana Septemba 15, 2022 asipomuona nyumbani asihangaike akamta [...]
TFF yapitisha usajili wa Kisinda Yanga
Taarifa kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
[...]
Makala ya Rais Samia Siku ya Demokrasia
Ifuatayo ni makala iliyoandikwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu siku ya Demokrasia Duniani.
[...]