Category: Kitaifa

1 94 95 96 97 98 212 960 / 2111 POSTS
Angellah Kairuki ateuliwa kuwa Waziri wa TAMISEMI

Angellah Kairuki ateuliwa kuwa Waziri wa TAMISEMI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Amemteua Angellah Jasmine Kairu [...]
Bashungwa ateuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Bashungwa ateuliwa kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Amemteua Mhe. Innocent Lugha Ba [...]
Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume

Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume

Mgombea wa nafasi ya mjumbe wa halmashauri ya CCM wilaya ya Dodoma amewavunja mbavu wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya baada ya kuwaomba wamchague kwa [...]
Mahakama: Uamuzi wa kuwaondoa Wamasai ulikua kisheria

Mahakama: Uamuzi wa kuwaondoa Wamasai ulikua kisheria

Mahakama ya Afrika Mashariki imesema uamuzi iliyochukuliwa na serikali ya Tanzania wa kuzingira ardhi kwa ajili ya ulinzi wa wanyamapori na kuwaondoa [...]
Mapato ya utalii yazidi kupaa

Mapato ya utalii yazidi kupaa

Mapato yanayotokana na utalii yameongezeka kutoka Dola za Kimarekani milioni 714.59 kwa mwaka 2020 hadi kufikia Dola za Kimarekani milioni 1,310.34 (z [...]
Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic, Mhe. Grace Olotu na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe [...]
Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Dkt. [...]
Mikataba ya Serikali kusainiwa Ofisi ya AG

Mikataba ya Serikali kusainiwa Ofisi ya AG

Rais Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku Taasisi za serikali kuingia mikataba bila kushirikisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Rais Samia [...]
Kapu la Mama latema bil.160 ujenzi wa madarasa 8,000

Kapu la Mama latema bil.160 ujenzi wa madarasa 8,000

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 8,000 vitakavyoweza kupokea wanafun [...]
Bilioni 700 kuwafikishia umeme walio nje ya gridi ya Taifa

Bilioni 700 kuwafikishia umeme walio nje ya gridi ya Taifa

Huenda idadi ya Watanzania wanaotumia umeme ya gridi ya Taifa ikaongezeka siku za hivi karibuni baada ya Benki ya Dunia kutoa ufadhili kwa ajili kupel [...]
1 94 95 96 97 98 212 960 / 2111 POSTS
error: Content is protected !!