Tag: Bunge la Tanzania
Fahamu mapendekezo ya Kikosi Kazi kuhusu Katiba Mpya
Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia ya Vyama Vingi vya Siasa nchini Tanzania kimesema mchakato wa kupata Katiba mpya uendelee kwa ku [...]
China haifungui kituo cha polisi Tanzania
Watanzania wametakiwa kupuuzia taarifa iliyotolewa na idhaa ya kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kuwa nchi ya China ina mpango wa [...]
Magazeti ya leo Oktoba 18,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Oktoba 18,2022.
[...]
Ajinyonga kisa kunyimwa mshahara
Ofisa Muuguzi (II) wa Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila, Dar es Salaam, Sarwat Soluwo amedaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kilichodaiwa mateso ali [...]
Rais Samia : Punguzeni kidogo spidi
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi Runzewe Wilaya ya Bukombe mkoani Geita kupunguza kasi ya kuzaa ili huduma za kijamii na fursa za maendeleo [...]
Jeshi la Polisi laanza kuichunguza Kalynda
Jeshi la Polisi limeanza kuchunguza tuhuma za utapeli kwa njia ya mtandao dhidi ya kampuni ya Kalynda e-Commerce.
Msemaji wa Jeshi la Polisi SACP D [...]
Rais Samia awapa maagizo mazito kwa TAKUKURU na ZAECA
Rais Samia Suluhu Hassan ameziagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) na Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzib [...]
Rais Samia anavyomuenzi Mwalimu Nyerere
Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika kumuenzi baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Serikali itaendeleza mapambano dhidi ya ujinga, maradhi [...]
Wanyama kufungwa redio
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Pindi Chana, leo Oktoba 13, 2022, amezindua ufungaji wa redio za mawasiliano kwa wanyamapori katika Hifadhi ya Taifa [...]
Jeshi la Polisi kinara vitendo vya Rushwa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imezitaja sekta zinazoongoza kwa vitendo vya rushwa nchini huku Jeshi la Polisi likishika nafasi y [...]

