Tag: Bunge la Tanzania
Mapato ya uwindaji wa kitalii yaporomoka
Mapato yatokanayo na uwindaji wa kitalii unaofanyika katika mapori tengefu na mapori ya akiba Tanzania yameporomoka kwa Sh1.3 bilioni ndani ya mwaka m [...]
Magazeti ya leo Juni 28,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 28,2022.
[...]
Kesi ya kina Mdee kuanza kusikilizwa leo
Shauri la waliokuwa wanachama 19 wa Chadema, Halima Mdee na wenzake wanaoomba ridhaa ya mahakama kufungua shauri la kupinga uamuzi wa chama chao kuwav [...]
Auawa kwa kuchomwa kisu baada ya kukataa kuolewa
Mauaji ya mwanafunzi mmoja wakike aliyefahamika kwa jina la Nayera Ashraf nchini Egypt yamezua mjadala mkubwa baada ya kuhusishwa kwa wivu wa mapenzi [...]
Bajeti ya serikali 2022/23 imepita kwa 94%
Bajeti ya Serikali ya 2022/23 imepita kwa asilimia 94 baada ya kupigiwa kura za ndio 350. Idadi ya wabunge ilikua 380 na 379 walipiga kura.
NDIO- [...]
Kikokotoo cha zamani hakirudishwi
Serikali imesema haitarudisha kikokotoo cha zamani cha mafao ya wastaafu cha asilimia 50, kwa kuwa hakileti usawa katika ugawaji wa fedha wanazopata w [...]
Tanzania kushiriki Kombe la Dunia
Ujumbe wa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara hiyo Bw. Saidi Yakubu wamekutana na kuf [...]
Tanzania yateuliwa kuwa Mjumbe Baraza la Amani na Usalama AU
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeteuliwa kuwa mjumbe wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika kupitia kanda ya Mashariki kwa kipindi cha mia [...]
Naomi Osaka kuzindua kampuni ya Hana Kuma
Mchezaji wa tenisi kutoka nchini Japan, Naomi Osaka anatarajia kuzindua chombo chake cha habari alichokipa jina la ‘Hana Kuma’ akishirikiana na bingwa [...]
Mbivu na mbichi za kina Mdee leo
Maombi ya wanachama 19 wa zamani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kibali cha kupinga kufukuzwa uanachama, yatajulikana leo Mahakama i [...]

