Tag: Bunge la Tanzania
Spika Tulia awakingia kifua Mdee na wenzake
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Ackson amesema wanachama 19 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao walivuliwa u [...]
Sababu 7 za kutembelea Tanzania
Tanzania ni kati ya mataifa yanayosifiwa kwa kuwa na utajiri wa vivutio vya kitalii vya asili,kutoka kwa wanyamapori wa kustaajabisha hadi fukwe za ku [...]
Fahamu njia 5 za kupata mimba haraka
Fanya mabadiliko haya kwenye lishe yako ili kuongeza uzazi wako.
Mdalasini
Mdalasini inaweza kusaidia ufanyaji kazi mzuri wa ovari na hivyo kuwa [...]
Serikali dhidi ya ukatilii wa wanawake
Serikali imesema itaendelea kuongeza jitihada katika mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili kwa wanawake na watoto kwa kushirikiana na wadau wa maende [...]
Masomo ya Samia kwa wanaharakati
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amehudhuria na kushiriki Maadhimisho ya Miaka 10 ya Muungano wa Watetezi wa Haki za [...]
Harmonize anaendelea alipoishia
Harmonize bado anaendelea na safari yake ya kuomba msahama kwa aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kajala Masanja kwa kumnunulia magari mawili aina ya Range R [...]
Faida 5 za juisi ya miwa
Hali ya hewa ya joto sana na yenye unyevunyevu inaweza kusababisha matatizo makubwa ya afya, kama vile uchovu wa joto na kiharusi cha joto, na pia kud [...]
Aruhusu wanaodaiwa ada kufanya mitihani
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Tulia Ackson ameielekeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutoa tamko la wanafunzi wa vyuo [...]
Mnyika: Wanataka ubunge kwa msilahi pekee
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika amefunguka na kusema kwamba baada ya Kamati Kuu kutoa uamuzi wao dhidi ya wana [...]
Ajinyonga kisa ujumbe wa ‘Tuma kwenye namba hii’
Amos Tofiri (29), mkazi wa kijiji cha Lukunguni,mkoani Morogoro amejinyonga kutokana na deni la Sh 400,000 alizokopa na akazituma kwa mtu aliyemtumia [...]

