Tag: Freeman Mbowe

1 49 50 51 52 53 99 510 / 984 POSTS
TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar

TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar

Kushindwa kujiendesha kwa ufanisi kwa Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS) kumesababisha msongamano wa makasha hayo bandari ya Dar es Sal [...]
Fahamu mambo anayotakiwa kujua karani wa sensa

Fahamu mambo anayotakiwa kujua karani wa sensa

Karani wa sensa atatakiwa kuuliza idadi ya watu wote waliolala katika kaya husika usiku wa kuamkia siku ya sensa. Atauliza majina ya watu wote waliola [...]
Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula

Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula

Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa na mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuweza kujitosheleza kwa chakul [...]
Dkt. Mpango asisitiza wananchi kuliombea taifa

Dkt. Mpango asisitiza wananchi kuliombea taifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa. Dkt. Philip Mpango leo tarehe 22 Julai 2022 ameshiriki ibada ya kawaida ya asubuhi katik [...]
Kauli ya Manara baada ya kufungiwa

Kauli ya Manara baada ya kufungiwa

Msemaji wa Yanga, Haji Manara ametoa kauli baada ya kufungiwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutojihusisha na soka kwa miaka miwili ameandika ha [...]
IGP Wambura aanza kazi

IGP Wambura aanza kazi

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camilus Wambura amewataka wananchi wa jiji la Arusha kuendelea kutunza amani iliyopo na kutokujiingiza kwenye viten [...]
IGP au IJP ?

IGP au IJP ?

Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO), Gerson Msigwa, ametoa ufafanuzi wa tofauti kuhusu kiswahili cha neno IGP kuwa IJP [...]
Uteuzi Ngorongoro

Uteuzi Ngorongoro

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro. [...]
Alikua anajaribu kupita magari 8

Alikua anajaribu kupita magari 8

Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana [...]
Matumizi ya trilioni 2.4 za IMF

Matumizi ya trilioni 2.4 za IMF

Wizara ya Fedha na Mipango, imesema trilioni 2.4 zilizoidhinishwa na Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF) ni kutokana na utendaji kazi wa Rais Samia Su [...]
1 49 50 51 52 53 99 510 / 984 POSTS
error: Content is protected !!