Tag: Freeman Mbowe
Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro
Waziri MKuu, Kassim Majaliwa amesema serikali inaangalia utaratibu utakaofaa kuhusu suala la uhifadhi katika eneo la Loliondo lililopo kwenye Wilaya y [...]
Afukuliwa siku moja baada ya kuzikwa
Mwili wa marehemu, Mark Mkude mwenye umri wa miaka 67 umefufuliwa baada ya kuzikwa na na ndugu wa marehemu mwingine, Gervas Chondoma mwenye umri wa mi [...]
Hospitali ya rufaa Muhimbili yaipa heshima Tanzania kimataifa
Maabara ya hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila imeingia katika orodha ya maabara zinazotoa huduma bora duniani baada ya kupata ithibati ya ubor [...]
Dar kinara visa vipya vya corona
Mganga mkuu wa Serikali, Dk. Aifello Sichalwe ametoa taarifa kuhusu maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa UVIKO-19 na kusema kw [...]
Serikali kufanya tathmini kushusha bei ya vifaa vya ujenzi na vinywaji
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji akiwa jijini Dodoma jana alitoa taarifa inayoelezea tathmini ya mwenendo wa uzalishaji, usa [...]
Kiswahili chatambulika rasmi kama lugha ya kazi Umoja wa Nchi za Afrika (AU)
Mkutano wa 35 wa wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) umeridhia na kupitisha ombi la Tanzania la kutaka Kiswahili kiwe lugha ya kazi kati [...]
Tamko kuhusu IST kupita daraja la Tanzanite
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam , ACP Jumanne Muliro ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinazosem [...]
Vaa hivi ufanane na Wizkid
Mwanamitindo wa Wizkid anastahili pongezi kwani tumeshuhudia mabadiliko ya mtindo wa uvaaji wake kutoka kwenye suruali za jeans chini ya makalio na ma [...]
Serikali yaweka neno matukio ya mauaji
Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum chini ya waziri Dk. Doroth Gwajima, imezitaka kamati za kupinga ukat [...]
Rais wa Liberia aanika siri za mkewe
Rais George Weah wa Liberia amesababisha taharuki nchini humo baada ya kuzindua kitabu chake huku wanawake nchini Liberia wakijiandaa kuandamana kwa k [...]