Tag: habari kubwa za michezo
Magazeti ya leo Aprili 9,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Aprili 9,2022.
[...]
NBC Bukoka yatangaza ajira
Position: Lead Generator
Location: Bukoba Branch NBC
Type: Full time
Job ID: R-15930001
Overview
NBC is the oldest serving bank in Tanzania with [...]
Rais Samia azikumbuka shule kongwe
Rais Samia azikumbuka shule kongwe Shule ya Sekondari ya Ufundi Mtwara ni miongoni mwa shule kongwe nchini Tanzania, Shule hii inasifika kwa kufundish [...]
Rais Samia ataja matumizi ya nembo ya sensa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ametangaza tarehe 23 Agosti kama siku rasmi ya kuanza Sensa ya Watu na Makazi kwa mwa [...]
Nandy: hawa kasuku wakue na sisi
Msanii wa bongo fleva nchini, Faustina Charles Mfinanga maarufu kwa jina la kisanii la Nandy, amemzawadia mume wake mtarajiwa William Nicholaus a.k.a [...]
Moto masokoni tangu 2021-2022
Leo Aprili 8,2022 tukio jipya la moto limeripotiwa ambapo sehemu ya soko la Karume limetekea na moto. Matukio haya ya moto yameonekana kuongezeka hivi [...]
Viashiria kuwa mwanamke wako anapanga kuchepuka
Tofauti na wanaume, asilimia kubwa ya wanawake hutumia muda mrefu sana kutafakari kabla ya kufikia maamuzi ya kuwasaliti wapenzi wao, na zipo ishara a [...]
Ya Harmonize yamkuta Miriam Odemba
Mwanamitindo kutoka nchini Tanzania ambaye kwa sasa anaishi Ufaransa, Miriam Odemba anazidi kuonyesha mapenzi yake kwa msanii kutoka lebo ya Konde Gan [...]
Afa maji akikimbia polisi
Hassani Mussa M’buyu (27) mkazi wa mtaa wa Sabasaba, Kata ya Jamhuri, Manispaa ya Lindi amekufa maji, baada ya kujitosa baharini kwa madai ya kukimbia [...]
Ushauri wa Jahazi kwa Harmonize
Watangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa kwenye redio ya Clouds, Mussa Hussein, George Bantu na Captain Gardner Habash wamempa ushauri msanii H [...]

