Tag: habari kubwa za michezo
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Aprili 6,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri Youtube Tanzania leo Aprili 6,2022. Husikubali kuiptwa.
https://www.youtube.com/watch?v=IokCG2J-_5Q&list=PLq [...]
Diamond amwaga sifa kwa Rais Samia
Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi, Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amesema Rais Samia Suluhu ni kiongozi mzalendo na mwenye huruma na wan [...]
Maelezo juu ya kupanda kwa bei za mafuta
Bei za mafuta duniani zimepanda hali ambayo imeathiri pia bei za mafuta hapa Tanzania.
Kupanda kwa bei za mafuta sio jambo geni, limewahi kutokea [...]
Majaliwa: bei zishuke
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi wazalishaji na wafanyabiashara wa bidhaa muhimu kutopandisha bei za vitu kiholela bila utaratibu na hatua kali k [...]
Harmonize, Diamond watofautiana
Msanii na mmiliki wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize ametofautiana kimawazo na aliyewahi kuwa msimamizi wake kutoka lebo ya Wa [...]
Musukuma ajiuzulu
Mbunge wa Geita Vijijini ambaye pia ni Balozi wa Mazingira anayewakilisha Bunge, Joseph Kasheku (Musukuma) amejiuzulu ubalozi wa mazingira kufuatia ri [...]
Fahamu haya kabla yaa kurekodi video za utupu
Hivi karibuni video za utupu za watu zimekuwa zikivuja sana kwenye mitandao ya kijamii , huku swali kubwa likiwa ni kwanini wamejirekodi badala ya kwa [...]
Aliyeandika barua kuacha shule arejea
Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya SEkondari Msimbati, Taufiq Hamisi (15) ambaye aliandika barua ya kuacha shule kutokana na ugumu wa mai [...]
Muliro: marufuku Daraja la Tanzanite
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema Jeshi hilo limepiga marufuku kwa mtu asiyehusika kufika chini ya Daraja hilo kuto [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Aprili 4,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri kwenye mtandao wa Youtube Tanzania leo Jumatatu Aprili 4,2022, husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch [...]

