Tag: habari kubwa za michezo
Rais Samia aagiza suluhu changamoto ya udanganyifu wa mitihani
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kushughlikiwa kwa changamoto ya udanganyifu wa mitihani inayosababisha Tanzania kuwa na wimbi kubwa la wahitimu wasi [...]
Mtanzania mwingine auawa nchini Israeli
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema amejulishwa na Serikali ya Israel kwamba kijana wa Kitanzania, Josh [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 2,244
Jumla ya wafungwa 2,244 watanufaika na msamaha uliotolewa leo na Rais Samia Suluhu ambapo 263 wataachiwa huru tarehe 09/12/2023, wafungwa wawili walio [...]
Sh. bilioni 80 kuendeleza Bandari ya Mbamba Bay
Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA imeingia Mkataba wa usanifu na ujenzi wa uendelezaji wa Bandari ya Mbamba Bay iliyopo wilayani Nyasa Mko [...]
Serikali yapeleka dawa na vifaatiba Hanang
Serikali kupitia Bohari ya Dawa (MSD) imefikisha msaada wa dawa na vifaatiba kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko Hanang katika Hospitali ya [...]
Maboresho miundombinu ya viwanja vya ndege ni endelevu
Serikali imesema itaendelea kujenga na kupanua miundombinu ya viwanja vya ndege ili kujihakikishia utoaji wa huduma ndani ya nchi na nchi jirani.
K [...]
Mazingira magumu Kenya yaikimbiza Standard Chartered Bank
Benki ya Standard Chartered Kenya imepunguza kiasi kikubwa cha hisa zake katika dhamana za serikali ya Kenya kwa 52% baada ya kupata hasara ya uwekeza [...]
Romania kufadhili wanafunzi 10 wa Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye pamoja na mgeni wake Rais wa Romania, Klaus Iohannis wamekubaliana kutoa nafasi za ufadhili wa masomo kwa wanafu [...]
Rais wa Romania kuja nchini kwa ziara ya kitaifa
RAIS wa Romania, Klaus Iohannis, kesho November 16 hadi 19, 2023 anatarajia kufanya ziara ya Kitaifa nchini hapa kufuatia mwaliko alioupata kutoka kwa [...]
Fahamu mashirika 9 yaliyofutiwa usajili
Bodi ya uratibu wa mashirika yasiyo ya kiserikali nchini imefuta leseni za uendeshaji za mashirika tisa ya kimataifa na kitaifa ikiwemo taasisi ya Mo [...]

