Tag: habari kubwa za michezo
Wasiomaliza ujenzi wa shule za sekondari kukiona cha moto
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa wakuu wa mikoa yote nchini kuhakikisha kwamba ujenzi wa miundombinu yote katika shule za sekondari u [...]
Tanzania na Zambia zasaini mikataba 8 ya ushirikiano
Tanzania na Zambia zimesaini mikataba 8 ya ushirikiano, kufuatia ziara ya kitaifa ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Zambia.
Mikataba hiyo ilifuati [...]
Rais Samia aizawadi Zambia Hecta 20 Bandari Kavu ya Kwala
Rais Samia Suluhu Hassan aigawia Zambia hecta 20 za ardhi katika bandari kavu ya Kwala kama zawadi ya kutimiza miaka 59 ya uhuru wao.
Amesema taari [...]

Rasmi DP World kuendesha sehemu ya bandari ya Dar kwa miaka 30
Tanzania imesaini mikataba mitatu na kampuni ya DP World ya Dubai ya kukodi na kuendesha sehemu ya bandari ya Dar es Salaam kwa miaka 30, miezi minne [...]
Lengo ni kufikia uwekezaji wa Dola bilioni 3 ifikapo 2025
Tanzania inalenga kuongeza uwekezaji kutoka India ambaye ni mshiriki wake mkubwa katika biashara.
Inatarajia uwekezaji kutoka India kupanda hadi do [...]
Tanzania na India kusaini mikataba mipya 15 ya ushirikiano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anajiandaa kwa ziara ya kihistoria ya kiserikali nchini India kuanzia Oktoba 8 hadi 11, [...]
Waziri aagiza kitengo cha huduma kwa wateja kuimarishwa
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameliagiza Shirika la Ndege la Air Tanzania kuimarisha utoaji wa taarifa kwa wateja wao ili kuepusha sintofah [...]
Rais Samia aagiza kuanzishwa kwa tovuti za kumbukumbu za viongozi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagiza kuanzishwa kwa tovuti ya Serikali ya kuhifadhi kumbukumbu za viongozi walio [...]
Rais Samia ampa miezi sita Mkurugenzi mpya wa Tanesco
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempa miezi sita bosi mpya wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kukomesha mgao wa umeme unaoendelea kuathiri s [...]
Waziri Mchengerwa amsimamisha kazi Mkurugenzi Busega
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega [...]

