Tag: habari kubwa za michezo
Rais Samia ahimiza sheria zitafsiriwe kwa Kiswahili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inahitaji sheria madhubuti kuhakikisha kuwa wanawake wanashiriki k [...]
Uzembe wa TICTS, hasara kwa taifa
Kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena Tanzania katika bandari ya Dar es Salaam (TICTS) imesababishia taifa hasara kubwa baada ya kudondosha mako [...]
China haifungui kituo cha polisi Tanzania
Watanzania wametakiwa kupuuzia taarifa iliyotolewa na idhaa ya kiswahili ya Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) kuwa nchi ya China ina mpango wa [...]
Wapata majisafi baada ya miaka 50
Wananchi wa kijiji cha Namatumu Kata ya Malika Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, wamesema Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA [...]
Rais Samia awapongeza Ramadhan Brother’s
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Samia Suluhu Hassan amewapongeza vijana wa Kitanzania Ibrahim (36) na Fadhil Ramadhan (26) wanaounda ku [...]
Magazeti ya leo Oktoba 19,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Oktoba 19,2022.
[...]
Zitto Kabwe ampongeza Rais Samia kwa kufanya kazi nzuri
Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amempa pongezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri anayoifanya kwa kuwaungan [...]
Rais Samia aiwasha Kigoma
Rais Samia Suluhu Hassani jana Oktoba 17,2022 amezima umeme uliokuwa unatumia jenereta na kuwasha umeme wa gridi ya Taifa na kuwataka wananchi kutunz [...]
Ajinyonga kisa kunyimwa mshahara
Ofisa Muuguzi (II) wa Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila, Dar es Salaam, Sarwat Soluwo amedaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kilichodaiwa mateso ali [...]
Rais Samia: Tunakwenda kuandika historia Kigoma
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Kigoma leo unaandika historia kwa kuzimwa kwa majenereta yaliyokuwa yakizalisha umeme na sasa unaunganishwa k [...]

