Tag: habari kubwa za michezo
Ashtakiwa kwa wizi wa mbegu za kiume
Mahakama moja magharibi mwa Ujerumani ilimpata mwanamke mmoja na hatia ya unyanyasaji wa kijinsia na kumpa kifungo cha nje cha miezi sita kwa kuharibu [...]
TCRA waifungia video ya ‘Mtasubiri”
Mamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu ya "Mtasubiri sana' baada ya kupata taarifa kutoka Ba [...]
Msemaji mpya wa Ikulu
Karine Jean-Pierre atakuwa katibu wa habari ajaye wa Ikulu ya White House, utawala wa Biden umetangaza, huku Jen Psaki akijiuzulu kutoka wadhifa huo w [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 6, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Bunge lampa Makamba siku 6
Wabunge wameitaka serikali kuja na mkakati wa dharura wa kunusuru kupanda kwa bei ya mafuta, huku wengine wao wakitaka kupunguzwa kwa baadhi ya tozo k [...]
Unakipenda kifo zaidi ya unavyodhani
"Enjoy! Maisha ni mafupi" kamsemo wanachoambiwa vijana wengi bila kujua ukubwa wake na namna unavyoweza kugharimu maisha yao.
Utasikia Jamilla anas [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 5, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Miriam Odemba akubali mimba za Ibraah
Mwanamitindo na Mshindi wa taji la Miss East Africa 1998, Miriam Odemba ameendelea kupigania penzi lake kwa kinda kutoka lebo ya Konde Gang, Ibraah kw [...]
Usilolijua kuhusu kondomu
Njia za uzazi wa mpango husaidia kuzuia mimba. Hii ina maana kutumia kondomu kimsingi ni njia ya kudhibiti uzazi. Hata hivyo, ingawa udhibiti wa uzazi [...]
Wiz Khalifa aponzwa na bangi
Kwa wafuatiliaji na wadau mbalimbali wa tasnia ya mitindo duniani, tukio la Met Gala, sio kitu kigeni masikioni kwao. Ukubwa wa tukio hili unafananish [...]

